Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amelazimika kubadili mbinu za ushambuliaji wake ili kumlinda mshambuliaji Donald Ngoma dhidi ya mabeki wa timu pinzani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga ukuta, Azam, Simba ushambuliaji

Ngome ya Yanga haijaruhusu bao katika  mechi tano ilizocheza chini ya kocha mpya, Marcio Maximo, mechi nne zikiwa za kirafiki na moja ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Donaldo Ngoma kutua Yanga

Mshambuliaji wa Platinum FC ya Zimbabwe, Donaldo Ngoma anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ajili ya mazungumzo na Yanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ngoma inogile kileleni

>Mabingwa watetezi, Yanga wamekwea kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza JKT Ruvu mabao 4-0 jana  kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atambia ushambuliaji

YANGJUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR

KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amedai kuwa moto wa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe anayeshirikiana vema na mawinga, Mrisho Ngassa na Simon Msuva utamwezesha kuiua FC Platinum ya Zimbabwe ugenini.

Yanga itachuana na Platinum keshokutwa kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, utakaofanyika Uwanja wa Mandava, uliopo jijini Zvishavane.

Kikosi cha Yanga kinaondoka nchini kesho kikiwa kifua mbele kutokana na ushindi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH


Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.

Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe

 

9 years ago

Habarileo

Ngoma: Nitaendelea kuwapa raha Yanga

MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Donald Ngoma amesema ataendelea kuwapa raha mashabiki wa timu hiyo katika kila mchezo kwani ameshaizoea Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, Ngoma amesema ndoto yake ya kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itatimia kwani wachezaji wenzake wa Yanga wameelewa uchezaji wake na namna ya kumtengenezea nafasi za kufunga.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga, Coastal Union ngoma droo

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha Yanga

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

HAKUNA mbabe, unaweza kusema hivyo baada ya klabu ya Yanga na Coastal Union kuamua yaishe kwa kupokezana Uwanja wa Gombani, Chake chake Pemba kwa ajili ya kufanya maandalizi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajia kuanza Septemba 20.

Timu hizo zote zimejikuta zikiwa na vibali vya kuutumia uwanja huo kwa ajili ya maandalizi hayo, ambapo kila mmoja alishindwa kumuachia mwenzake hadi walipoamua kuafikiana.

Kutokana na kuafikiana huko, Coast...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani