Donaldo Ngoma kutua Yanga
Mshambuliaji wa Platinum FC ya Zimbabwe, Donaldo Ngoma anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ajili ya mazungumzo na Yanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Wapinzani wa Yanga na Azam kutua Dar es salaam leo
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Yanga ngoma inogile kileleni
9 years ago
Habarileo26 Oct
Ngoma: Nitaendelea kuwapa raha Yanga
MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Donald Ngoma amesema ataendelea kuwapa raha mashabiki wa timu hiyo katika kila mchezo kwani ameshaizoea Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, Ngoma amesema ndoto yake ya kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itatimia kwani wachezaji wenzake wa Yanga wameelewa uchezaji wake na namna ya kumtengenezea nafasi za kufunga.
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RYP5D9EXZP4/VZPPhegJ7bI/AAAAAAABNiE/HnVCy5cOWHs/s72-c/IMG-20150701-WA0007.jpg)
RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH
![](http://3.bp.blogspot.com/-RYP5D9EXZP4/VZPPhegJ7bI/AAAAAAABNiE/HnVCy5cOWHs/s640/IMG-20150701-WA0007.jpg)
Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.
Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe