Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Donaldo Ngoma kutua Yanga

Mshambuliaji wa Platinum FC ya Zimbabwe, Donaldo Ngoma anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ajili ya mazungumzo na Yanga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi kutua Yanga leo

Safari ya kocha wa Mbeya City kutua Yanga imeiva baada ya jana kuwaaga rasmi wachezaji wake mazoezini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wa Yanga na Azam kutua Dar es salaam leo

>Wapinzani wa Yanga timu ya Komorozine de Domoni kutoka Comoro watatua nchini leo tayari kwa mchezo wa Jumamosi wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ngoma inogile kileleni

>Mabingwa watetezi, Yanga wamekwea kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuichakaza JKT Ruvu mabao 4-0 jana  kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Ngoma: Nitaendelea kuwapa raha Yanga

MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Donald Ngoma amesema ataendelea kuwapa raha mashabiki wa timu hiyo katika kila mchezo kwani ameshaizoea Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, Ngoma amesema ndoto yake ya kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itatimia kwani wachezaji wenzake wa Yanga wameelewa uchezaji wake na namna ya kumtengenezea nafasi za kufunga.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngoma kuanza kibarua Yanga kesho

Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zimbabwe, Donald Ngoma kesho anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.

 

10 years ago

Vijimambo

RASMI YANGA YAWATAMBULISHA NGOMA, TETTEH


Rasmi uongozi wa Yanga umewatambulisha wachezaji wake Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Joseph Zuttah ‘Tetteh’ raia wa Ghana.

Wawili hao wameingia mkataba wa miaka miwili kuinoa Yanga na leo walitambulishwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Yanga, Jerry Muro.Source:Salehjembe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani