Katibu Mkuu aisikitikia NCCR, asema historia itawahukumu
Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe amesema kuwa alitabiri kwamba historia itawahukumu na ndicho kilichotokea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jan
NCCR-Mageuzi yapata Katibu Mkuu mpya
ALIYEKUWA Katibu Mkuu taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Samuel Ruhuza amejitoa katika kinyang’anyiro cha kutetea nafasi yake hiyo. Hali hiyo imempatia ushindi wa kishindo, Mosena Nyambabe, ambaye alishinda kwa kura 57 kati ya kura 71 kwenye uchaguzi wa chama hicho.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
11 years ago
Habarileo12 May
Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mizengwe yamng’oa Katibu Ruhuza NCCR
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)