Mizengwe yamng’oa Katibu Ruhuza NCCR
Mpango uliosukwa na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi kumng’oa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Samwel Ruhuza umetimia baada ya Ruhuza kujitoa dakika za mwisho katika uchaguzi wa nafasi ya Katibu Mkuu, huku akieleza kuwa hakuwa tayari kugombea nafasi hiyo na aliyeibuka mshindi ni Mosena Nyambabe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jan
NCCR-Mageuzi yakanusha kumshinikiza Ruhuza kujiengua
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeelezea kusikitishwa na uzushi kuwa, kilimshinikiza Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake, Samwel Ruhuza kujitoa kutetea kiti hicho katika dakika za mwisho siku ya uchaguzi mkuu wa chama hicho mwishoni mwa wiki iliyopita.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mbatia, Ruhuza kuwania tena uongozi NCCR-Mageuzi
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Mbatia ashinda tena NCCR, mizengwe yatawala mkutano
11 years ago
Habarileo21 Jan
NCCR-Mageuzi yapata Katibu Mkuu mpya
ALIYEKUWA Katibu Mkuu taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Samuel Ruhuza amejitoa katika kinyang’anyiro cha kutetea nafasi yake hiyo. Hali hiyo imempatia ushindi wa kishindo, Mosena Nyambabe, ambaye alishinda kwa kura 57 kati ya kura 71 kwenye uchaguzi wa chama hicho.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Katibu Mkuu aisikitikia NCCR, asema historia itawahukumu
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
Escrow yamng`oa Werema
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.thisday.co.tz/media/picture/large/Attorney%20General,%20Judge%20Frederick%20Werema.jpg)
Jaji Werema alijiuzulu jana kupitia barua yake aliyomwandikia Rais...
11 years ago
Mwananchi01 May
Azam yamng’oa Domayo Yanga
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Ripoti ya CAG yamng’oa meya