Mbatia ashinda tena NCCR, mizengwe yatawala mkutano
Uchaguzi Mkuu wa nane wa Chama cha NCCR-Mageuzi, umemchagua tena James Mbatia kuwa mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo huku mizengwe ikitawala katika uchaguzi huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mbatia, Ruhuza kuwania tena uongozi NCCR-Mageuzi
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mizengwe yamng’oa Katibu Ruhuza NCCR
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mbatia kuchuana na Makofila uenyekiti NCCR
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia atachuana vikali na Charles Makofila kuwania uenyekiti wa taifa katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo. Uchaguzi huo utafanyika kwenye mkutano mkuu wa Januari 18, mwaka huu, jijini Dar es Salaam ukishirikisha wajumbe 289.
10 years ago
Habarileo28 Jun
Mbatia: NCCR-Mageuzi haitajiondoa Ukawa
CHAMA cha NCCR - Mageuzi kimesema hakitajitoa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa vile lengo lake si mgawanyo wa madaraka bali Katiba.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Mbatia ahofia udini, ukabila NCCR-Mageuzi
MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ameonya juu ya `virusi’ vya udini, ukabila na ukanda vilivyoanza kukinyemelea chama hicho na kutaka wanachama kuepuka dhambi hiyo. Aidha, ameonya kuwa chama hicho ni sehemu ndogo tu ya nchi, hivyo ni hatari kuanza kukumbatia mambo hayo.
9 years ago
GPLMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI AMJIBU MBATIA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_MfUZs2RstE/default.jpg)
10 years ago
MichuziMBATIA AWANADI WAGOMBEA WA CHAMA NCCR-MAGEUZI KATIKA JIMBO LA VUNJO
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI, JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO