Mbatia kuchuana na Makofila uenyekiti NCCR
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia atachuana vikali na Charles Makofila kuwania uenyekiti wa taifa katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo. Uchaguzi huo utafanyika kwenye mkutano mkuu wa Januari 18, mwaka huu, jijini Dar es Salaam ukishirikisha wajumbe 289.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
Aliyegombea uenyekiti NCCR afariki dunia
ALIYEGOMBEA nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi katika uchaguzi uliofanyika mwaka huu, Charles Makofila amefariki dunia usiku wa kuamkia jana.
10 years ago
Habarileo28 Jun
Mbatia: NCCR-Mageuzi haitajiondoa Ukawa
CHAMA cha NCCR - Mageuzi kimesema hakitajitoa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa vile lengo lake si mgawanyo wa madaraka bali Katiba.
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Mbatia Asema Yake Baada Ya Profesa Lipumba Kung’atuka Uenyekiti CUF
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mbatia.jpg?resize=702%2C336)
Kufuatia uamuzi wa Profesa Ibrahim Lipumba kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo tofauti huku wengi wakitaka kujua hatua hiyo imepokelewa vipi na viongozi wa Ukawa.Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia ameelezea jinsi alivyopokea taarifa za hizo akiwa mwenyekiti mwenza wa Ukawa.Akiongea katika mahojiano maalum na waandishi wa habari, Mbatia amesema kuwa uamuzi huo ni wa kawaida kwa kuzingatia mfumo wa vyama vingi nchini na kwamba...
9 years ago
GPLMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI AMJIBU MBATIA
11 years ago
Habarileo20 Jan
Mbatia ahofia udini, ukabila NCCR-Mageuzi
MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ameonya juu ya `virusi’ vya udini, ukabila na ukanda vilivyoanza kukinyemelea chama hicho na kutaka wanachama kuepuka dhambi hiyo. Aidha, ameonya kuwa chama hicho ni sehemu ndogo tu ya nchi, hivyo ni hatari kuanza kukumbatia mambo hayo.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Mbatia ashinda tena NCCR, mizengwe yatawala mkutano
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mbatia, Ruhuza kuwania tena uongozi NCCR-Mageuzi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_MfUZs2RstE/default.jpg)
10 years ago
MichuziMBATIA AWANADI WAGOMBEA WA CHAMA NCCR-MAGEUZI KATIKA JIMBO LA VUNJO