Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yamng’oa Domayo Yanga

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC wamepeleka pigo lingine kwa Yanga baada ya jana jioni kukamilisha rasmi usajili wa kiungo mkabaji Frank Domayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam

Timu za Yanga na Azam zitakosa huduma ya viungo wao mahiri katika mchezo baina yao, kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Domayo amshtua Omog Azam

Azam FC imepiga bao faida ya kuwajali wachezaji wao baada ya kupona kiungo wao mkabaji, Frank Domayo ambaye sasa amerudi kwa kasi ya ajabu.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam FC bado yamng’ang’ania Nyosso

Muda mfupi baada ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) kumfungia nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kwa kumdhalilisha mshambuliaji wa Azam FC, John Boko, timu hiyo yenye maskani yake Chamazi, Dar es Salaam imesema suala hilo wanalifuatilia kisheria zaidi.

 

11 years ago

GPL

KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC

Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...

 

11 years ago

GPL

TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC

Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamng’ang’ania Bob Williamson

>Wakati mabingwa wa soka nchini, Yanga  wakimng’ang’ania kocha mkuu wa Gor Mahia ya Kenya,  Bob Williamson kurithi mikoba ya aliyekuwa kocha wao  mkuu, Ernie Brandts, timu hiyo mpaka sasa haijalipwa  fedha zake zilizotokana na ushindi wa mashabiki wake katika  mechi ya Nani Mtani Jembe Sh98, 938,400.

 

10 years ago

GPL

Domayo naye anukia Yanga

Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
BAADA ya kuelezwa kuwa straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu yupo mbioni kurejea kwenye kikosi cha Yanga, habari nyingine ni kuwa kiungo wa Azam FC, Frank Domayo, naye anadaiwa kuwa kwenye njia ya kurejea kurudi katika klabu yake hiyo ya zamani. Domayo ambaye alijiunga na Azam mwanzoni wa msimu huu akitokea Yanga, inadaiwa kuwa amekuwa katika hali tata ya kutokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Domayo, Mosoti pengo Yanga, Simba

Mapengo ya Frank Domayo kwa Yanga na Donald Mosoti kwa Simba yameonekana dhahiri mwishoni mwa wiki baada ya timu hizo kuanza vibaya Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani