Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Domayo naye anukia Yanga

Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
BAADA ya kuelezwa kuwa straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu yupo mbioni kurejea kwenye kikosi cha Yanga, habari nyingine ni kuwa kiungo wa Azam FC, Frank Domayo, naye anadaiwa kuwa kwenye njia ya kurejea kurudi katika klabu yake hiyo ya zamani. Domayo ambaye alijiunga na Azam mwanzoni wa msimu huu akitokea Yanga, inadaiwa kuwa amekuwa katika hali tata ya kutokuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC

Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yamng’oa Domayo Yanga

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC wamepeleka pigo lingine kwa Yanga baada ya jana jioni kukamilisha rasmi usajili wa kiungo mkabaji Frank Domayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Domayo, Mosoti pengo Yanga, Simba

Mapengo ya Frank Domayo kwa Yanga na Donald Mosoti kwa Simba yameonekana dhahiri mwishoni mwa wiki baada ya timu hizo kuanza vibaya Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Mwananchi

Domayo, Niyonzima, Migi kuikosa Yanga, Azam

Timu za Yanga na Azam zitakosa huduma ya viungo wao mahiri katika mchezo baina yao, kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Yondani naye atoweka Yanga

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...

 

10 years ago

GPL

Yanga yamteka beki Simba airport, yaondoka naye

Beki wa kati wa Mtibwa Sugar, Salim Mbonde Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KAMA noma na iwe noma, ukizubaa umeliwa, hivyo ndivyo unaweza kufikiria kutokana na vita ya chinichini inayoendelea katika usajili wa dirisha dogo la Ligi Kuu Bara, hasa kuhusu klabu kubwa za Yanga na Simba. Timu hizo zote zipo kwenye mawindo ya kusajili baada ya kutokuwa na matokeo ya kuridhisha katika mechi saba za awali za Ligi Kuu Bara, sasa Yanga...

 

11 years ago

Mwananchi

Barthez anukia Simba

‘Nenda, rudi’ za kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’ zinakaribia kutimia baada ya kipa huyo kuanza mazungumzo na Simba ili arejee tena Mtaa wa Msimbazi kuichezea klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bobby’ anukia Taifa Stars

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linafanya mpango ili kocha wa klabu ya Gor Mahia ya Kenya, Robert ‘Bobby’ Williamson raia wa Scotland, achukue jukumu la kuinoa Taifa Stars.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balotelli wa Azam anukia Simba

KAMATI ya Usajili ya Klabu ya Simba iko katika harakati za kimya kimya za kumrejesha kikosini nyota wake wa zamani, Jamil Mchaulu ‘Balotelli’ anayekichezea kikosi cha Azam FC cha vijana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani