Yondani naye atoweka Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1oUSquckziRkCQ79YD5GbY*dEFC0vQ3AizZF8pWaScJZW*SuTIRtVR8KzmVoRXffTz-rkrmft1jgcCMuhgAmZ9/YONDANI.jpg?width=650)
Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZymY4ttHMzWaJePZgbyT7hgYE3p8bVTsDsgyFpFYL81ejaxurQ5dWinkH2*o43Tb0*6C3q0BZ-uD1FAjOoJSdu4O4mcsR2XZ/1.jpg?width=650)
Kelvin Yondani atoweka Taifa Stars
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbx2mRmi3e79ZiE4IuddfJQ9O2PNsRZeO5DxjXpFf17lnEwVgHBADn8qj0bOmVzzO8Eo7TGdFttcWCyU2XKVdNM/bobani.jpg?width=650)
Baba Yondani awavaa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eTK84mM5zdLfaf67oAonKYqNMT*0dRBh0cqH701vdnzDeJ9qxDYOSTlpnrWSh9mxfUILS5GmYZ8fZg8IekK-w4/yondani.gif?width=650)
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
11 years ago
TheCitizen03 Apr
Yanga play down investigation on Kaseja, Yondani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h-JWOss2wJ7rNsQkZDr3JrWzBifOjp2rloTRQpLpsuv*TDlJAl4d-mE87qmxOBw8g8eaeDSARQJ4ed7vfETfQRc/IMMMA.jpg)
Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
GPLDomayo naye anukia Yanga
10 years ago
VijimamboNGASSA ATOWEKA YANGA FIGISU FIGISU ZIMETONYA KUWA KAENDA SAUZ
Chanzo chetu cha habari kimesema winga huyo ameonekana akipanda ndege kuelekea Afrika Kusini.
Bado haijawekwa wazi kuwa amekwenda kufanya nini lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOdljokZc6BqLKrtZcV0RH3qzb7YgnxlJr93Ca3VvG4Vddgdn9KWY7WHldCnkh7gHzfZ6ygVBiZK*HBoWuo1UxK/yanga.jpg?width=650)
Yanga yamteka beki Simba airport, yaondoka naye