Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kelvin Yondani atoweka Taifa Stars

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Hans Mloli
WACHEZAJI wawili wa timu ya taifa, Taifa Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Burundi, Kelvin Yondani na Juma Luizio hawapo kambini huku sababu mbalimbali zikitajwa kuwaondoa kikosini humo.
Stars inatarajiwa kuvaana na Burundi, leo Jumamosi katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Imeelezwa kuwa wachezaji hao hawakuwepo na hawakuwahi kujiunga na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yondani naye atoweka Yanga

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin

Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao nne timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin. Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo. Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao. Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa stars, Harambee Stars hoi

Michezo ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki kombe la dunia nchini Urusi 2018 ukanda wa Afrika, zimepigwa usiku wa kuamka leo

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Raia Mwema

Matatizo 12 ya Taifa Stars

NILIPANGA makala hii kuwa na kichwa cha habari kisemacho “Matatizo 13 ya Taifa Stars” lakini kwa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Come one, come all: Taifa Stars need you

>The national soccer team, Taifa Stars, will take yet another shot at international glory when they launch their campaign for a second appearance at the Africa Cup of Nations finals tomorrow.

 

10 years ago

TheCitizen

Do us proud Taifa Stars, we’re behind you

The national soccer team, Taifa Stars, made their maiden appearance in the Africa Cup of Nations (Afcon) finals in 1980. Thirty-five years and a generous dose of heartbreak later, they are still hoping to dine at the table in the esteemed company of Africa’s football aristocrats again.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani