Kelvin Yondani atoweka Taifa Stars

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Hans Mloli WACHEZAJI wawili wa timu ya taifa, Taifa Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Burundi, Kelvin Yondani na Juma Luizio hawapo kambini huku sababu mbalimbali zikitajwa kuwaondoa kikosini humo. Stars inatarajiwa kuvaana na Burundi, leo Jumamosi katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Imeelezwa kuwa wachezaji hao hawakuwepo na hawakuwahi kujiunga na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Yondani naye atoweka Yanga
11 years ago
Michuzi
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
Michuzi
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin




10 years ago
GPL06 Sep
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Taifa stars, Harambee Stars hoi
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Matatizo 12 ya Taifa Stars
NILIPANGA makala hii kuwa na kichwa cha habari kisemacho “Matatizo 13 ya Taifa Stars” lakini kwa
Mwandishi Wetu
11 years ago
TheCitizen17 May
EDITORIAL: Come one, come all: Taifa Stars need you
10 years ago
TheCitizen13 Jun
Do us proud Taifa Stars, we’re behind you