Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matatizo 12 ya Taifa Stars

NILIPANGA makala hii kuwa na kichwa cha habari kisemacho “Matatizo 13 ya Taifa Stars” lakini kwa

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin

Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao nne timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin. Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo. Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao. Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu ni muhimu kuachana na mijadala kuhusu watu na vyama vyao vya siasa, kasumba ya kuwaabudu watu na kufikiri kwamba kuna mtu mmoja mwenye uwezo wa kuleta mabadiliko katika taifa letu, tuanze kujadili matatizo ya taifa letu. Tukiyajadili na kuyafahamu vizuri, pamoja tunaweza kufikiria ufumbuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa stars, Harambee Stars hoi

Michezo ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki kombe la dunia nchini Urusi 2018 ukanda wa Afrika, zimepigwa usiku wa kuamka leo

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars kibaruani

>Taifa Stars inashuka uwanjani leo kukabiliana na Burundi katika pambano la kimataifa ya kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa(Fifa) litakalofanyika jijini Bujumbura.

 

10 years ago

TheCitizen

Do us proud Taifa Stars, we’re behind you

The national soccer team, Taifa Stars, made their maiden appearance in the Africa Cup of Nations (Afcon) finals in 1980. Thirty-five years and a generous dose of heartbreak later, they are still hoping to dine at the table in the esteemed company of Africa’s football aristocrats again.

 

11 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Come one, come all: Taifa Stars need you

>The national soccer team, Taifa Stars, will take yet another shot at international glory when they launch their campaign for a second appearance at the Africa Cup of Nations finals tomorrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani