Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea

Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu ni muhimu kuachana na mijadala kuhusu watu na vyama vyao vya siasa, kasumba ya kuwaabudu watu na kufikiri kwamba kuna mtu mmoja mwenye uwezo wa kuleta mabadiliko katika taifa letu, tuanze kujadili matatizo ya taifa letu. Tukiyajadili na kuyafahamu vizuri, pamoja tunaweza kufikiria ufumbuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu

Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli

Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusirudie makosa, tujadili matatizo ya Tanzania

JOTO la uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani linapoanza kupanda, tunaelekea kufanya makosa yaleyale ya miaka yote. Tunaanza kuwajadili watu na vyama vyao badala ya kuyajadili matatizo ya taifa letu. Swali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upepo wa Zitto umepita, tujadili matatizo ya nchi

KWA wiki nzima tunayoimaliza leo, mjadala mkubwa kila kona ulikuwa ni sakata la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, kukimbilia mahakamani kunusuru uanachama wake ndani ya Chama cha Demokrasia na...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Lowassa ni yuleyule na mambo ni yaleyale

Katika kushangaza, kuchekesha na kurogwa huku, tunaweza kweli kupiga hatua ya maendeleo? Tunaweza kuishi ulimwengu wa sayansi na teknolojia; ulimwengu ambao maisha si ya kubahatisha na kupiga ramli, bali ya uhakika?

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Lowassa ni mfamaji au mpambanaji asiyechoka?

Nimejitahidi nilivyoweza kutoandika chochote juu ya Edward Lowassa. Nilikuwa na sababu kadhaa ambazo siyo lazima kuziandika kwenye makala haya.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Tunawashukuru waliotutunzia fedha zetu nje

>Watanzania tunalalamika. Mimi pia nimeambiwa mara nyingi kwamba ninaandika makala za kulalamika.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Kufikiri amani itanyesha kama mvua ni kuchanganyikiwa

Inashangaza, tunapiga magoti kuomba amani. Watu wanakesha makanisani kuomba amani. Kwenye majukwaa ya siasa tunawasikia wanasiasa wakiimba amani.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO: Hakuna rafiki wala adui wa kudumu katika siasa

Hivi sasa mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye, wamejikuta pamoja katika kampeni za vyama vya upinzani kupitia Ukawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani