MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu
Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu ni muhimu kuachana na mijadala kuhusu watu na vyama vyao vya siasa, kasumba ya kuwaabudu watu na kufikiri kwamba kuna mtu mmoja mwenye uwezo wa kuleta mabadiliko katika taifa letu, tuanze kujadili matatizo ya taifa letu. Tukiyajadili na kuyafahamu vizuri, pamoja tunaweza kufikiria ufumbuzi.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli
Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Masilahi ya Taifa letu ni yepi?
Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
MCHANGO WA MAWAZO: Hakuna rafiki wala adui wa kudumu katika siasa
Hivi sasa mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye, wamejikuta pamoja katika kampeni za vyama vya upinzani kupitia Ukawa.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa
Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/nPNu1QbaJ7w/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Aug
MCHANGO WA MAWAZO : Lowassa ni yuleyule na mambo ni yaleyale
Katika kushangaza, kuchekesha na kurogwa huku, tunaweza kweli kupiga hatua ya maendeleo? Tunaweza kuishi ulimwengu wa sayansi na teknolojia; ulimwengu ambao maisha si ya kubahatisha na kupiga ramli, bali ya uhakika?
9 years ago
Mwananchi19 Aug
MCHANGO WA MAWAZO: Lowassa ni mfamaji au mpambanaji asiyechoka?
Nimejitahidi nilivyoweza kutoandika chochote juu ya Edward Lowassa. Nilikuwa na sababu kadhaa ambazo siyo lazima kuziandika kwenye makala haya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x649.jpg)
RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x649.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1.-4-962x1024.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-24-1024x858.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania