Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pengo akemea masilahi binafsi Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinal Pengo amesema shughuli za mchakato wa Katiba zifanyike kwa amani na kwamba ziwalinde Watanzania katika umoja na mshikamano waliyokuwa nao.

 

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutaweka mbele masilahi ya taifa

MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema kamati yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wataliongoza taifa katika mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la katiba wekeni masilahi ya Taifa mbele

Taifa la Tanzania liko katika mchakato wa kupata katiba mpya. Suala hili ni jema na ni la msingi sana kwa maendeleo, ushauri wangu ni kwamba wasitokee watu ambao watafanya mambo kwa masilahi yao au kikundi cha watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Sendeka yaapa kutetea masilahi ya taifa

Wajumbe wa Bunge la Katiba walioshinda nafasi ya uenyekiti na kuteuliwa katika Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo, wamewatoa hofu Watanzania na wajumbe wenzao kwa kueleza kuwa watatetea masilahi ya Tanzania katika kupata katiba bora.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Majadiliano ya vyama yabebe masilahi ya Taifa kwanza

>Wiki hii ilikuwa nianze kuchambua taarifa za Kamati za Bunge Maalumu, lakini kwa sababu ya zoezi linaloendelea la maridhiano baina ya vyama vya siasa chini ya uongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), nimeona niandike juu ya nia njema aliyokuwa nayo Rais tangu awali na msisitizo wake kwa namna tunavyopaswa kuendesha mijadala ya Katiba Mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu

Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa: Mgongano wa masilahi utazamwe

Rais mstaafu, Benjamin Mkapa amesema tatizo la mgongano wa masilahi kwa viongozi na watumishi wa umma linahitaji kutazamwa kwa umakini ili kuleta usawa katika utoaji wa uamuzi wa jambo lolote, hasa linalowagusa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani