Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Sendeka yaapa kutetea masilahi ya taifa

Wajumbe wa Bunge la Katiba walioshinda nafasi ya uenyekiti na kuteuliwa katika Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo, wamewatoa hofu Watanzania na wajumbe wenzao kwa kueleza kuwa watatetea masilahi ya Tanzania katika kupata katiba bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutaweka mbele masilahi ya taifa

MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema kamati yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wataliongoza taifa katika mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la katiba wekeni masilahi ya Taifa mbele

Taifa la Tanzania liko katika mchakato wa kupata katiba mpya. Suala hili ni jema na ni la msingi sana kwa maendeleo, ushauri wangu ni kwamba wasitokee watu ambao watafanya mambo kwa masilahi yao au kikundi cha watu.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Majadiliano ya vyama yabebe masilahi ya Taifa kwanza

>Wiki hii ilikuwa nianze kuchambua taarifa za Kamati za Bunge Maalumu, lakini kwa sababu ya zoezi linaloendelea la maridhiano baina ya vyama vya siasa chini ya uongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), nimeona niandike juu ya nia njema aliyokuwa nayo Rais tangu awali na msisitizo wake kwa namna tunavyopaswa kuendesha mijadala ya Katiba Mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu

Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.

 

9 years ago

Mtanzania

Kamati Taifa Stars yavunjwa

Jamal+MalinziNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, jana imevunjwa rasmi baada ya kumaliza kazi yao iliyokuwa inawakabili ya kuhamasisha mechi dhidi ya Algeria.

Kamati hiyo iliyoundwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ilikuwa na kazi ya kuhakikisha Taifa Stars inafanya vema kwenye michuano ya kuwania kufuzu  kwa kombe la dunia 2018 nchini Urusi.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Farough Baghouzah,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani