Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Majadiliano ya vyama yabebe masilahi ya Taifa kwanza

>Wiki hii ilikuwa nianze kuchambua taarifa za Kamati za Bunge Maalumu, lakini kwa sababu ya zoezi linaloendelea la maridhiano baina ya vyama vya siasa chini ya uongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), nimeona niandike juu ya nia njema aliyokuwa nayo Rais tangu awali na msisitizo wake kwa namna tunavyopaswa kuendesha mijadala ya Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa

Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.

 

10 years ago

Mwananchi

Uraia pacha, masilahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

Wanaoendelea kudai uraia pacha, ama hawajasoma Rasimu au wana lao jambo.Salamu zangu kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, naendelea kuwapa moyo kwamba kazi mnayoifanya ni yetu na ninyi miongoni mwetu mmeonekana wenye sifa na vigezo vya kuitenda kazi hiyo ipasavyo.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE: Mambo 70 muhimu ya wananchi yaliyofutwa katika Katiba Inayopendekezwa

>Wananchi walipendekeza madaraka makubwa ya Rais hasa ya uteuzi yapunguzwe na ziundwe taasisi za kikatiba za kumshauri rais kabla hajafanya teuzi. Wananchi walipendekeza pia baada ya rais kumteua kiongozi basi itabidi mteuliwa huyo Bunge limthibitishe.

 

10 years ago

Mwananchi

Masilahi ya Taifa letu ni yepi?

Wakati tunajiaandaa kwa Uchaguzi Mkuu, tuna mambo mengi ya kujadili kama Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutaweka mbele masilahi ya taifa

MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema kamati yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wataliongoza taifa katika mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la katiba wekeni masilahi ya Taifa mbele

Taifa la Tanzania liko katika mchakato wa kupata katiba mpya. Suala hili ni jema na ni la msingi sana kwa maendeleo, ushauri wangu ni kwamba wasitokee watu ambao watafanya mambo kwa masilahi yao au kikundi cha watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Sendeka yaapa kutetea masilahi ya taifa

Wajumbe wa Bunge la Katiba walioshinda nafasi ya uenyekiti na kuteuliwa katika Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo, wamewatoa hofu Watanzania na wajumbe wenzao kwa kueleza kuwa watatetea masilahi ya Tanzania katika kupata katiba bora.

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Si Magufuli wala CCM, ni masilahi mapana ya Taifa letu

Mwalimu Julius Nyerere, kabla ya kifo chake, alisema wazi kwamba Watanzania wanataka mabadiliko. Hivyo, kwamba tunataka mabadiliko si jambo la kujadili tena.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Vyama vya upinzani vikosoe na kusifu ikibidi

>Siasa ni dhana pana inayoakisi utaratibu na mwenendo wa jumla wa maisha ya mwanadamu katika jamii inayomzunguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani