NGASSA ATOWEKA YANGA FIGISU FIGISU ZIMETONYA KUWA KAENDA SAUZ
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametoroka nchini na kukimbilia kusikojulikana huku viongozi wake wakijua kuwa amekwenda Tanga kwa ajili ya msiba wa mamamkwe wake.Ngassa hajaonekana Yanga tangu Jumanne ya wiki iliyopita. Aliwaaga viongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Tanga kuhudhuria msiba lakini taarifa zinadai ametoroka nchini.
Chanzo chetu cha habari kimesema winga huyo ameonekana akipanda ndege kuelekea Afrika Kusini.
Bado haijawekwa wazi kuwa amekwenda kufanya nini lakini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
FIGISU FIGISU ZA VIONGOZI WA YANGA NA SIMBA WAKIWA MBIONI KUOMBA MADARAKA
Uwanja wa Simba Bunju aibu tupu
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2477958/highRes/845438/-/maxw/600/-/w2e708z/-/UWANJA.jpg)
Mwanaspoti ambalo limekuwa likifuatilia eneo la uwanja huo tangu mwanzo, juzi Jumamosi lilifanya ziara kwenye uwanja huo ili kujionea maendeleo yake lakini hali iliyokutwa sio ya kuridhisha.Katibu mkuu aliyeondoka madarakani Simba, Ezekiel Kambwaga aliukabidhi uongozi mpya wa klabu hiyo kiwanja hicho cha Simba kilichoko Bunju mwisho nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kikiwa kimefanyiwa usafi na kutengenezwa kwa eneo la...
10 years ago
Vijimambo05 May
FIGISU FIGISU ZA MAJAJI WA PAMBANO LA PAQUIAO NA MAYWEATHER
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/04/17/284D9B6B00000578-3067387-image-m-2_1430755908818.jpg)
Kwa mtazamo wako juu ya pambano lile kama wewe ndiyo ungekuwa jaji ungempa nani ushindi?. Ingawa pambano limepita na mshindi kishajulina lakini bado kuna nyatu nyatu za hapa na pale kuwa majaji walinyonga upande mmoja kama chati hii inavyoonyesha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dHlpmXXOuPUjIuq3xF4ZMbY9adxei1*fblUkIDnFoU1dAuwtDPQMsGViSiVqe8g8XFxMsiTAIjo3YYL9r2D-f3LWraM7CR*3/nvgasa.jpg)
Ngassa atorokea Sauz
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIot814mV9jV7wMGhakpAMMfpAOXarE797pU*MSUPfsiQpY*600YtWKfumn*0WRIOpsR2NdA68s3ekqwkAE6o83K/1.gif?width=650)
Ngassa asaini Sauz
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1oUSquckziRkCQ79YD5GbY*dEFC0vQ3AizZF8pWaScJZW*SuTIRtVR8KzmVoRXffTz-rkrmft1jgcCMuhgAmZ9/YONDANI.jpg?width=650)
Yondani naye atoweka Yanga
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Ngassa aibukia Yanga
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Ngassa aipa raha Yanga
JENIFFER ULLEMBO NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kurejea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga imewashusha waliokuwa vinara Azam wenye pointi 22 baada ya kufikisha jumla ya pointi 25, lakini wanalambalamba hao wana mchezo mmoja mkononi.Winga wa Yanga, Mrisho Ngassa ndiye aliyeibuka shujaa kwa timu yake baada ya kuifungia mabao hayo yote, akiwa...
10 years ago
Vijimambo04 Oct
Maximo amgeuka Ngassa Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2473816/highRes/843142/-/maxw/600/-/uf3jb0z/-/maxi.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina