FIGISU FIGISU ZA MAJAJI WA PAMBANO LA PAQUIAO NA MAYWEATHER
Kwa mtazamo wako juu ya pambano lile kama wewe ndiyo ungekuwa jaji ungempa nani ushindi?. Ingawa pambano limepita na mshindi kishajulina lakini bado kuna nyatu nyatu za hapa na pale kuwa majaji walinyonga upande mmoja kama chati hii inavyoonyesha.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNGASSA ATOWEKA YANGA FIGISU FIGISU ZIMETONYA KUWA KAENDA SAUZ
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametoroka nchini na kukimbilia kusikojulikana huku viongozi wake wakijua kuwa amekwenda Tanga kwa ajili ya msiba wa mamamkwe wake.
Ngassa hajaonekana Yanga tangu Jumanne ya wiki iliyopita. Aliwaaga viongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Tanga kuhudhuria msiba lakini taarifa zinadai ametoroka nchini.
Chanzo chetu cha habari kimesema winga huyo ameonekana akipanda ndege kuelekea Afrika Kusini.
Bado haijawekwa wazi kuwa amekwenda kufanya nini lakini...
Chanzo chetu cha habari kimesema winga huyo ameonekana akipanda ndege kuelekea Afrika Kusini.
Bado haijawekwa wazi kuwa amekwenda kufanya nini lakini...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
FIGISU FIGISU ZA VIONGOZI WA YANGA NA SIMBA WAKIWA MBIONI KUOMBA MADARAKA
Uwanja wa Simba Bunju aibu tupu
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2477958/highRes/845438/-/maxw/600/-/w2e708z/-/UWANJA.jpg)
Mwanaspoti ambalo limekuwa likifuatilia eneo la uwanja huo tangu mwanzo, juzi Jumamosi lilifanya ziara kwenye uwanja huo ili kujionea maendeleo yake lakini hali iliyokutwa sio ya kuridhisha.Katibu mkuu aliyeondoka madarakani Simba, Ezekiel Kambwaga aliukabidhi uongozi mpya wa klabu hiyo kiwanja hicho cha Simba kilichoko Bunju mwisho nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kikiwa kimefanyiwa usafi na kutengenezwa kwa eneo la...
9 years ago
Vijimambo13 Sep
PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-0/p280x280/12006246_1050293754989289_1837075724729834108_n.jpg?oh=695a337baac06b37f64c7c95e78eceee&oe=569FD355)
Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Roach :Mayweather hakutaka hili pambano
Kocha wa bondia Manny Pacquiao ,Freddie Roach ana wasiwasi huenda bondia Floyd Mayweather asitokeea kwenye mpambano wa mei 2.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7NnAwOTPLWjN5r0kOZZ3wJ5aCfRir8UA-Zc0ExJPm5E94kPQg*6JI36W6ktbJEk8F0NsPC8kitJgolCBVuOuc-b/284D9B6B000005783067387imagem2_1430755908818.jpg)
UTATA MPYA PAMBANO LA MAYWEATHER, PACQUIAO
Karatasi ya matokeo ya majaji watatu Glenn Feldman, Burt Clements na Dave Moretti zinavyoonyesha na picha inawaonyesha mabondia hao katika kona zao, Floyd Mayweather ya bluu (kushoto) na Manny Pacquiao nyekundu (kulia). Floyd Mayweather akiwa amekaa kona nyenye rangi blue.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-BrB60k*2qFA0eLxL9*81MKF5K0UXvtKNmTbPSoWeGpn5UQgdN2ykbR2p383GXzdxEsbPiXMCSLg44osDymLBn/pacquiaovsmayweather.jpg)
RAMBO: MAYWEATHER ATASHINDA PAMBANO DHIDI YA PACQUIAO
Mabondia wa ngumi za uzito wa juu zaidi duniani, Floyd Mywether na Manny Pacquiao wanaotarajia kupanda uliongoni kuoneshana ubabe tarehe 2, Aprili mwaka huu. MCHEZA sinema maarufu duniani wa Marekani, Sylvester Stallone ‘Rambo’ amesema bondia Floyd Mayweather atashinda katika pambano dhidi ya bondia Mfilipino, Manny Pacquiao litakalofanyika Mei 2 mwaka huu. Mcheza sinema maarufu duniani Sylvester Stallone 'Rambo' na...
10 years ago
Bongo503 Dec
Pambano la Mayweather na Pacquiao huenda likapigwa Dubai, 2015
Pambano la masumbwi linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao linaweza kupigwa Mashariki ya Kati. Ripoti zinadai kuwa kundi la wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu limetenga paundi milioni 70 kuhakikisha pambano hilo linachezwa Dubai. Baada ya miaka mingi ya kukwepana, huenda pambano hilo likafanyika May mwakani. Mapambano mengi maarufu ya ndodi hata […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania