FIGISU FIGISU ZA VIONGOZI WA YANGA NA SIMBA WAKIWA MBIONI KUOMBA MADARAKA
Uwanja wa Simba Bunju aibu tupuBy MWANAHIBA RICHARD NA GIFT MACHA
Mwanaspoti ambalo limekuwa likifuatilia eneo la uwanja huo tangu mwanzo, juzi Jumamosi lilifanya ziara kwenye uwanja huo ili kujionea maendeleo yake lakini hali iliyokutwa sio ya kuridhisha.Katibu mkuu aliyeondoka madarakani Simba, Ezekiel Kambwaga aliukabidhi uongozi mpya wa klabu hiyo kiwanja hicho cha Simba kilichoko Bunju mwisho nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kikiwa kimefanyiwa usafi na kutengenezwa kwa eneo la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNGASSA ATOWEKA YANGA FIGISU FIGISU ZIMETONYA KUWA KAENDA SAUZ
Chanzo chetu cha habari kimesema winga huyo ameonekana akipanda ndege kuelekea Afrika Kusini.
Bado haijawekwa wazi kuwa amekwenda kufanya nini lakini...
10 years ago
Vijimambo05 May
FIGISU FIGISU ZA MAJAJI WA PAMBANO LA PAQUIAO NA MAYWEATHER
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/04/17/284D9B6B00000578-3067387-image-m-2_1430755908818.jpg)
Kwa mtazamo wako juu ya pambano lile kama wewe ndiyo ungekuwa jaji ungempa nani ushindi?. Ingawa pambano limepita na mshindi kishajulina lakini bado kuna nyatu nyatu za hapa na pale kuwa majaji walinyonga upande mmoja kama chati hii inavyoonyesha.
9 years ago
VijimamboHAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Viongozi Afrika na mvutano wa Madaraka
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
TUCTA: Viongozi acheni uchu wa madaraka
VIONGOZI ndani ya serikali wa taasisi mbalimbali wametakiwa kuacha uchu wa madaraka, badala yake wajifunze kwa waasisi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Shirikisho la Vyama...
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Viongozi ulaya wanavyolazimika kuacha madaraka wanapokosea
9 years ago
Mwananchi09 Sep
‘Nyomi, umaarufu utaweka viongozi wabovu madaraka’
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar