Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roach :Mayweather hakutaka hili pambano

Kocha wa bondia Manny Pacquiao ,Freddie Roach ana wasiwasi huenda bondia Floyd Mayweather asitokeea kwenye mpambano wa mei 2.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.



Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?

 

10 years ago

GPL

UTATA MPYA PAMBANO LA MAYWEATHER, PACQUIAO

Karatasi ya matokeo ya majaji watatu Glenn Feldman, Burt Clements na Dave Moretti zinavyoonyesha na picha inawaonyesha mabondia hao katika kona zao, Floyd Mayweather ya bluu (kushoto) na Manny Pacquiao nyekundu (kulia). Floyd Mayweather akiwa amekaa kona nyenye rangi blue.…

 

10 years ago

GPL

RAMBO: MAYWEATHER ATASHINDA PAMBANO DHIDI YA PACQUIAO

Mabondia wa ngumi za uzito wa juu zaidi duniani, Floyd Mywether na Manny Pacquiao wanaotarajia kupanda uliongoni kuoneshana ubabe tarehe 2, Aprili mwaka huu. MCHEZA sinema maarufu duniani wa Marekani, Sylvester Stallone ‘Rambo’ amesema bondia Floyd Mayweather atashinda katika pambano dhidi ya bondia Mfilipino, Manny Pacquiao litakalofanyika Mei 2 mwaka huu. Mcheza sinema maarufu duniani Sylvester Stallone 'Rambo' na...

 

10 years ago

Bongo5

Pambano la Mayweather na Pacquiao huenda likapigwa Dubai, 2015

Pambano la masumbwi linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao linaweza kupigwa Mashariki ya Kati. Ripoti zinadai kuwa kundi la wawekezaji kutoka Falme za Kiarabu limetenga paundi milioni 70 kuhakikisha pambano hilo linachezwa Dubai. Baada ya miaka mingi ya kukwepana, huenda pambano hilo likafanyika May mwakani. Mapambano mengi maarufu ya ndodi hata […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhulia kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhuria kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

10 years ago

GPL

PACQUIAO AJICHUA VIKALI KUELEKEA PAMBANO LAKE LA KARNE DHIDI YA MAYWEATHER

Manny Pacquiao akijiandaa na pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather. Maandalizi yakiwa yamepamba moto kwenye gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. BONDIA mahiri kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao ameendelea kujichua vikali katika gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani. Pacquiao anajiandaa na pambano lake kali dhidi ya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani