Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amelazimika kumrudisha kundini haraka beki wake Kelvin Yondani kutokana na kikosi chake kukumbwa na uhaba wa mabeki wa kati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm kustaafia Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm yupo mbioni kusaini mkataba mpya na mabingwa hao na kumalizia maisha yake ya ukocha hapa nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga

IMG_3892

 

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,

KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.

Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga

Mbio za ubingwa zimemfanya kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm kufumua kikosi chake akidai hatavumilia mchezaji atakayeonyesha kiwango kibovu hata kama ni nyota kwa kiasi gani.

 

11 years ago

GPL

Pluijm amtema Okwi kikosini

Emmanuel Okwi. Martha Mboma na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema mchezaji Emmanuel Okwi hayupo kambini na suala lake lipo juu ya uwezo wake na hawezi kumtumia kwenye mechi ya leo dhidi ya Kagera Sugar.
Pluijm amesema mbali na Okwi, kuna wachezaji wengine kadhaa hawapo, lakini yeye anaendelea kupambana na wale waliopo.… ...

 

11 years ago

GPL

Pluijm amrudisha Chuji kikosi cha kwanza

Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempokea kwa mikono miwili kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’,  baada ya kuvutiwa na kiwango chake na inawezakana akamtumia katika mechi ya Klabu Bingwa Afrika Jumamosi. Tangu Pluijm achukue mikoba ya kuifundisha Yanga alikuwa hajawahi kumwona mchezaji huyo uwanjani kutokana na kuwa amesimamishwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga

SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanacheza na Mbeya City leo kwenye Uwanja wa Sokoine, lakini kocha wao mkuu, Hans Pluijm amewaambia vijana wake ili mchezo huo uwe na manufaa kwao, waache na utovu wa nidhamu, wasiwaige wapinzani wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amewataka mabeki Ligi Kuu wakiwamo wa klabu yake, Kelvin Yondani na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ waige aina ya ukabaji wa beki wa Azam, Pascal Wawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani