Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amelazimika kumrudisha kundini haraka beki wake Kelvin Yondani kutokana na kikosi chake kukumbwa na uhaba wa mabeki wa kati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
11 years ago
GPLPluijm amtema Okwi kikosini
11 years ago
GPLPluijm amrudisha Chuji kikosi cha kwanza
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
10 years ago
GPL9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni