Pluijm amtema Okwi kikosini
![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH9QaFQl94kui-cYS3KHUGMAtIXhJHk9DCZcCKdUOD6o4Ztd-74*TPiIHnaonxuqn-oubwGwK3rUh2NaFaYjgwdI/kocha.jpg?width=650)
Emmanuel Okwi. Martha Mboma na Omary Mdose KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema mchezaji Emmanuel Okwi hayupo kambini na suala lake lipo juu ya uwezo wake na hawezi kumtumia kwenye mechi ya leo dhidi ya Kagera Sugar. Pluijm amesema mbali na Okwi, kuna wachezaji wengine kadhaa hawapo, lakini yeye anaendelea kupambana na wale waliopo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DRe5kM1DKlgQT6H5f8JJJbImY1FT2SWFDk5zOYZn75HOJcSlkhlqEHXi8c5Vjx2yXDFZFiNJpzTWym3mRF2Di1q/MKWASA.jpg?width=650)
Mkwasa amuengua Okwi kikosini
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1ULBW*XdrfP-wCXKwU8kE0PTCLgEfOtnGG7zoBjJ8eCuGmo3FDNARYIkVjSwFbm8pAMOGThwF-JekAnIX1G-M/pluijm.jpg)
Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-gREzBuBF4qtj4AQ8FSJbXkfZHiX-Q2ROlkpy9rhAB54UbneonwgW7FqAz2Kal2fosBcgFCZU1HQ8JQaUC7b4/33.gif?width=650)
Nooij amtema Ngassa Taifa Stars
9 years ago
Bongo509 Sep
Kocha wa Togo amtema Adebayor kwenye timu ya taifa
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Ghana yakana mgawanyiko kikosini
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kerr amtoa Angban kikosini Simba
Kocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr.
Omary Mdose na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema katika harakati zake za kuutetea ubingwa wa Kombe la Mapinduzi hatamtumia kipa wake, Muivory Coast, Vincent Angban.
Angban kwa siku za hivi karibuni ameonekana kukaa langoni katika kila mchezo wa Simba kwenye Ligi Kuu Bara kitendo ambacho kimemfanya kocha huyo kumpumzisha na badala yake kuwatumia Peter Manyika na David Kissu.
Katika michuano hiyo ambayo msimu uliopita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpnMLsm6QLkoaJEIqfPX050WYfNOmcH3v-XgHUNZtYZMWFuaqVNkr39S-ygCaffNN5dtkbKqw5ai7p91ajkR*la/mkudeeee.jpg?width=650)
Jonas Mkude akinukisha, Mzungu hamtaki tena kikosini
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Baada ya kutojumuishwa katika timu ya taifa ya Uholanzi, Van Gal naye amtoa kikosini Depay kwenye mchezo wa UEFA
Winga wa Manchester United, Memphis Depay.
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Winga wa klabu ya Manchester United, Mholanzi Memphis Depay amekuwa na wakati mgumu katika kipindi hiki cha karibuni kutokana na kudaiwa kushuka kiwango jambo lililomfanya kocha wake Louis Van Gaal kuwa akimweka benchi na nafasi yake ikichukuliwa na kijana mwenzake, Mfaransa Antony Martial.
Kama hilo halitoshi jana nchini Uholanzi yametangazwa majina ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa...