Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana yakana mgawanyiko kikosini

Shrikisho la soka nchini Ghana, limekanusha ripoti kwamba timu yake imemkataa kocha Kwesi Appiah

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zitto: Naziona dalili za mgawanyiko bungeni

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, (Chadema), Zitto Kabwe, amesema dalili za mwanzo za Bunge la Katiba zinaonyesha kuwepo kwa mgawanyiko wa makundi katika kuchagua viongozi wa bunge hilo.

 

11 years ago

GPL

Pluijm amtema Okwi kikosini

Emmanuel Okwi. Martha Mboma na Omary Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema mchezaji Emmanuel Okwi hayupo kambini na suala lake lipo juu ya uwezo wake na hawezi kumtumia kwenye mechi ya leo dhidi ya Kagera Sugar.
Pluijm amesema mbali na Okwi, kuna wachezaji wengine kadhaa hawapo, lakini yeye anaendelea kupambana na wale waliopo.… ...

 

11 years ago

GPL

Mkwasa amuengua Okwi kikosini

Na Mwandishi wetu
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amesema hatampa nafasi ya kucheza mechi yoyote mchezaji ambaye hajamuona. Wachezaji wawili ambao hawajaripoti katika kikosi cha Yanga ni Emmanuel Okwi na Hamis Kiiza, wote raia wa Uganda, lakini Okwi alitarajiwa kutua nchini jana jioni. Akizungumza na Championi Jumatatu, Mkwasa amesema ambao hawajaripoti hawawezi kupata nafasi ya kucheza katika kikosi chake...

 

10 years ago

Mwananchi

DC: Kwa mgawanyiko huu hatupati Katiba Mpya

>Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu amesema mchakato wa kupata Katiba Mpya umewagawa wananchi na hivyo si rahisi kupatikana Katiba Mpya.

 

9 years ago

Global Publishers

Kerr amtoa Angban kikosini Simba

Dylan-KerrKocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr.

Omary Mdose na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema katika harakati zake za kuutetea ubingwa wa Kombe la Mapinduzi hatamtumia kipa wake, Muivory Coast, Vincent Angban.

Angban kwa siku za hivi karibuni ameonekana kukaa langoni katika kila mchezo wa Simba kwenye Ligi Kuu Bara kitendo ambacho kimemfanya kocha huyo kumpumzisha na badala yake kuwatumia Peter Manyika na David Kissu.

Katika michuano hiyo ambayo msimu uliopita...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amelazimika kumrudisha kundini haraka beki wake Kelvin Yondani kutokana na kikosi chake kukumbwa na uhaba wa mabeki wa kati.

 

10 years ago

GPL

Jonas Mkude akinukisha, Mzungu hamtaki tena kikosini

Na Nassor Gallu, Tanga SIRI imefichuka na sasa kila kitu hadharani juu ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kuna mambo mawili makubwa yaliyotajwa juu ya Mkude kuwekwa pembeni, moja kubwa ni kuwa utovu wa nidhamu ndiyo kikwazo na Kocha wa Stars, Martin Nooij hana mpango wa kumuita tena labda abadilike baadaye. Kiungo wa timu ya Simba ya Dar, Jonas Mkude. Licha ya kuwa kwenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jambo ambalo linaweza kuleta mgawanyiko: Mtengezaji mabomu aliyebadilika na kuwa mtafutaji amani

Alikuwa sehemu ya kundi la wanamgambo waliotekeleza shambulio la bomu Bali, sasa hivi Ali Fauz, dhamira yake ni kuhakikisha ugaidi unamalizika

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MGAWANYIKO WA WATU KWA UMRI NA JINSI LEO IKULU, DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa   Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014   Ikulu jijini Dar es Salaam.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani