Jonas Mkude akinukisha, Mzungu hamtaki tena kikosini
![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpnMLsm6QLkoaJEIqfPX050WYfNOmcH3v-XgHUNZtYZMWFuaqVNkr39S-ygCaffNN5dtkbKqw5ai7p91ajkR*la/mkudeeee.jpg?width=650)
Na Nassor Gallu, Tanga SIRI imefichuka na sasa kila kitu hadharani juu ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kuna mambo mawili makubwa yaliyotajwa juu ya Mkude kuwekwa pembeni, moja kubwa ni kuwa utovu wa nidhamu ndiyo kikwazo na Kocha wa Stars, Martin Nooij hana mpango wa kumuita tena labda abadilike baadaye. Kiungo wa timu ya Simba ya Dar, Jonas Mkude. Licha ya kuwa kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Jonas Mkude: Niombeeni
KIUNGO wa timu ya Simba, Jonas Mkude amewataka Wanasimba, kumuombea aweze kupona haraka, mkono wa kushoto alioumia katika mchezo wa juzi dhidi ya Yanga, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jonas Mkude arejea Simba
KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jy9O3Lj4UKI4K*pCKNGD4U9SaRuu9xJPSU1TFWaDOUl2jNRtt3Iyet8IQ2brTYoqD63uMr2mfCpPuwHpBYKCrQP/wema.jpg)
AUNT AKINUKISHA...
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Rais wa Iraq hamtaki Nouri Maliki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH9QaFQl94kui-cYS3KHUGMAtIXhJHk9DCZcCKdUOD6o4Ztd-74*TPiIHnaonxuqn-oubwGwK3rUh2NaFaYjgwdI/kocha.jpg?width=650)
Pluijm amtema Okwi kikosini
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Ghana yakana mgawanyiko kikosini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DRe5kM1DKlgQT6H5f8JJJbImY1FT2SWFDk5zOYZn75HOJcSlkhlqEHXi8c5Vjx2yXDFZFiNJpzTWym3mRF2Di1q/MKWASA.jpg?width=650)
Mkwasa amuengua Okwi kikosini
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkNeHGIzJfTfGibx9xaNMHGdf9cCvwltdBRMInil9EFE5HiNfKEudPDx2Zna-Gh8SA9i8Ny4wa68*BIFB3Fz8jp/KendallJennerNickJonas01.jpg?width=650)
NICK JONAS ACHOMOA KUTOKA NA KENDALL
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kerr amtoa Angban kikosini Simba
Kocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr.
Omary Mdose na Said Ally
KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema katika harakati zake za kuutetea ubingwa wa Kombe la Mapinduzi hatamtumia kipa wake, Muivory Coast, Vincent Angban.
Angban kwa siku za hivi karibuni ameonekana kukaa langoni katika kila mchezo wa Simba kwenye Ligi Kuu Bara kitendo ambacho kimemfanya kocha huyo kumpumzisha na badala yake kuwatumia Peter Manyika na David Kissu.
Katika michuano hiyo ambayo msimu uliopita...