AUNT AKINUKISHA...
![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jy9O3Lj4UKI4K*pCKNGD4U9SaRuu9xJPSU1TFWaDOUl2jNRtt3Iyet8IQ2brTYoqD63uMr2mfCpPuwHpBYKCrQP/wema.jpg)
Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo KAMA hakuwahi kutoa sadaka, huu ndiyo muda wake! Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson anadaiwa kukinukisha nyumbani kwa Wema Isaac Sepetu baada ya kunusurika kufumaniwa na mume wa mtu, Moses Peter Iyobo a.k.a Moze Iyobo ambaye ni densa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson akiwa na shost yake Wema Isaac Sepetu. Habari zisizokuwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpnMLsm6QLkoaJEIqfPX050WYfNOmcH3v-XgHUNZtYZMWFuaqVNkr39S-ygCaffNN5dtkbKqw5ai7p91ajkR*la/mkudeeee.jpg?width=650)
Jonas Mkude akinukisha, Mzungu hamtaki tena kikosini
Na Nassor Gallu, Tanga SIRI imefichuka na sasa kila kitu hadharani juu ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kuna mambo mawili makubwa yaliyotajwa juu ya Mkude kuwekwa pembeni, moja kubwa ni kuwa utovu wa nidhamu ndiyo kikwazo na Kocha wa Stars, Martin Nooij hana mpango wa kumuita tena labda abadilike baadaye. Kiungo wa timu ya Simba ya Dar, Jonas Mkude. Licha ya kuwa kwenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania