Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jonas Mkude: Niombeeni

KIUNGO wa timu ya Simba, Jonas Mkude amewataka Wanasimba, kumuombea aweze kupona haraka, mkono wa kushoto alioumia katika mchezo wa juzi dhidi ya Yanga, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude arejea Simba

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...

 

10 years ago

GPL

Jonas Mkude akinukisha, Mzungu hamtaki tena kikosini

Na Nassor Gallu, Tanga SIRI imefichuka na sasa kila kitu hadharani juu ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kuna mambo mawili makubwa yaliyotajwa juu ya Mkude kuwekwa pembeni, moja kubwa ni kuwa utovu wa nidhamu ndiyo kikwazo na Kocha wa Stars, Martin Nooij hana mpango wa kumuita tena labda abadilike baadaye. Kiungo wa timu ya Simba ya Dar, Jonas Mkude. Licha ya kuwa kwenye...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Watanzania Niombeeni

RAIS Dk John Magufuli amewataka Watanzania wa dini zote na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali, kuendelea kumuombea ili atekeleze ahadi alizozitoa pamoja na kuinua maisha ya Watanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Muhongo: Niombeeni niiinue Tanzania

Profesa Sospeter MuhongoMMOJA wa makada wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania urais wa chama hicho, Profesa Sospeter Muhongo amesema pamoja na utiriri wa wagombea kutoka chama hicho tawala, mwisho wa siku nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye kuielewa vyema Tanzania na ambaye atakuwa tayari kuivusha nchi kiuchumi.

 

9 years ago

GPL

NICK JONAS ACHOMOA KUTOKA NA KENDALL

Nick Jonas na Kendall Jenner. New York, Marekani
NICK Jonas na Kendall Jenner awali baada wa kuripotiwa kuwa wanatoka kimapenzi, iliaminika kuwa ingekuwa bonge la kapo, lakini ghafla msanii wa muziki na muigizaji huyo, kachomoa kuwa wala hatoki na mwanadada huyo. Nick Jonas . Kendall ambaye ni mdogo wa mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian, amewahi pia kuripotiwa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.

 

10 years ago

Bongo5

‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo

Rapper Rashid Makwiro aka Chid Benz anapanda kizimbani Jumanne hii, November 11 kwenye mahakama ya hakimu mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Rapper huyo ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni, amewaomba mashabiki wamwombee. “Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu..niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado.#vitu […]

 

10 years ago

Mwananchi

Jonas Savimbi, mtoto wa ‘mtumishi’ aliyeingia msituni

Risasi 15 zilizoingia katika maeneo tofauti ya mwili wa Jonas Malheiro Savimbi ziliukatiza uhai wake, baada ya miaka 27 ya mapambano ya msituni dhidi ya Serikali ya Angola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Katibu mkuu mpya Yanga Jonas Tibohora .

Katibu mkuu mpya wa YANGA Jonas Tibohora ameahidi makubwa kwenye klabu ya Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani