Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Watanzania Niombeeni

RAIS Dk John Magufuli amewataka Watanzania wa dini zote na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali, kuendelea kumuombea ili atekeleze ahadi alizozitoa pamoja na kuinua maisha ya Watanzania.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude: Niombeeni

KIUNGO wa timu ya Simba, Jonas Mkude amewataka Wanasimba, kumuombea aweze kupona haraka, mkono wa kushoto alioumia katika mchezo wa juzi dhidi ya Yanga, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Muhongo: Niombeeni niiinue Tanzania

Profesa Sospeter MuhongoMMOJA wa makada wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania urais wa chama hicho, Profesa Sospeter Muhongo amesema pamoja na utiriri wa wagombea kutoka chama hicho tawala, mwisho wa siku nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye kuielewa vyema Tanzania na ambaye atakuwa tayari kuivusha nchi kiuchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.

 

10 years ago

Bongo5

‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo

Rapper Rashid Makwiro aka Chid Benz anapanda kizimbani Jumanne hii, November 11 kwenye mahakama ya hakimu mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Rapper huyo ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na madawa ya kulevya hivi karibuni, amewaomba mashabiki wamwombee. “Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu..niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado.#vitu […]

 

9 years ago

Habarileo

Makamba: Watanzania mchagueni Magufuli

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amewaasa Watanzania kutofanya makosa kwa kumchagua Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa kuwa Rais wa Tanzania na badala yake wamchague Dk John Magufuli ambaye ni kiongozi makini anayejali shida za wananchi.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Madaraka yasiwagawe Watanzania

g1 (1)Na Bakari Kimwanga, Tanga

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameonya na kusema nafasi za madaraka zisiwagawe Watanzania.

Amesema kila mtu anawajibu wa kulitumikia taifa na watu wake bila kubaguliwa na wenye nafasi za uongozi.

Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza kwenye mikutano ya kampeni za kuomba kuchaguliwa katika wilaya za Muheza, na Pangani mkoani Tanga.

Alisema nchi inahitaji viongozi ambao hawatawagawa...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Watanzania tusidekezwe na utafiti

g4*Asema hawezi kuwa rais bila kupigiwa kura

*Aanza kurusha makombora Ukawa

Na Bakari Kimwanga, Kahama

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutodekezwa na matokeo ya utafiti unaoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali.

 

Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Busanda, Mbogwe ya mkoani Geita na majimbo ya Ushetu na Kahama Mjini ya mkoani Shinyanga.

 

Alisema katu...

 

9 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kumuombea Magufuli

MFANYABIASHARA na kada wa CCM wilayani hapa, Peter Zakaria amewaomba Watanzania kuzidi kumwombea na kumuunga mkono Rais John Magufuli katika juhudi zake za kupambana na ufisadi, huku akiwataka wafanyabiashara kuonesha uzalendo kwa kulipa kodi kwa wakati.

Zakaria ambaye katika vyombo vyake vya usafirishaji amebandika mabango yenye kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” alisema nia ya Rais Magufuli ni njema kuwaletea wananchi maendeleo na kurejesha imani ya Watanzania kwa CCM kwamba bado chama hicho...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Watanzania wamekata tamaa

magufuli*Asema haiwezekani wachache wale kuku kwa mrija

 

Na Bakari Kimwanga, Iringa

 

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli.

Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani