Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Watanzania tusidekezwe na utafiti

g4*Asema hawezi kuwa rais bila kupigiwa kura

*Aanza kurusha makombora Ukawa

Na Bakari Kimwanga, Kahama

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutodekezwa na matokeo ya utafiti unaoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali.

 

Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Busanda, Mbogwe ya mkoani Geita na majimbo ya Ushetu na Kahama Mjini ya mkoani Shinyanga.

 

Alisema katu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Watanzania wanapenda kubaki EAC

WANANCHI wanane kati ya 10 wanafikiri kuwa Tanzania inapaswa kubakia ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha, wananchi tisa kati ya 10 wanakubali uwepo ushirikiano mkubwa zaidi na Kenya na Uganda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi

Matokeo ya utafiti yaliyotolewa leo yanaonyesha wengi wana wasiwasi juu ya vitisho vya mashambulio dhidi ya Tanzania siku zijazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Watanzania wengi wanatunza fedha nyumbani

 Asilimia 70 ya Watanzania wanatunza fedha zao nyumbani badala ya mfumo rasmi ukiwamo benki na huduma nyingine za fedha, imebainika.

 

10 years ago

Mtanzania

Utafiti: Watanzania hawataki Serikali kuingilia vyombo vya habari

Elias Msuya, Dar es Salaam
ASILIMIA 65 ya Watanzania wanapenda kuona vyombo vya habari vikichunguza ufisadi unaofanyika serikalini.
Hayo yamo katika ripoti ya Afrobarometer ya mwaka 2014, inayotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo na Kuondoa Umaskini (Repoa).
Ripoti hiyo, imekuja wiki chache baada ya Bunge la Tanzania kupitisha miswada ya Makosa ya Mtandao na Sheria ya Takwimu katika habari za mwaka 2015, zinazokosolewa na wadau, huku wakimshinikiza Rais Jakaya Kikwete asitie saini ili...

 

9 years ago

Vijimambo

Utafiti Ukawa 76% mwingine Dk. Magufuli 62%.

Siku mbili baada ya ripoti ya utafiti uliofanywa na Twaweza kwa njia ya simu kuonyesha kuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli angeshinda kwa asilimia 66, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetangaza matokeo ya utafiti wao yanayompa mgombea wao kupitia Chadema, Edward Lowassa, ushindi wa zaidi ya asilimia 76.

Hata hivyo, vita kuhusiana na ripoti za utafiti baina ya CCM na Ukawa imechukua sura mpya baada ya utafiti mwingine kutangazwa kupitia taarifa zilizosambazwa...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli apaa utafiti Synovate

UTAFITI mpya wa kampuni ya Ipsos (Synovate) unaonesha kwamba mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli atashinda kwa asilimia 62 dhidi ya asilimia 31 za mgombea wa Chadema, Edward Lowassa, endapo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ungefanyika leo.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aongoza utafiti Ipsos

Kampuni ya Ipsos jana ilitangaza matokeo ya utafiti wake wa hali ya kisiasa unaoonyesha kuwa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli angeshinda kwa asilimia 62 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika Septemba, huku mgombea wa Chadema, Edward Lowassa akipata asilimia 31.

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza waibeba CCM, asilimia 65 kumchagua Magufuli

Asilimia 62 ya wananchi wamesema wako karibu na CCM huku asilimia nyingine 65 wakisema watamchagua mgombea wa CCM, Dk. John Magufuli kuwa rais wa awamu ya tano, matokeo ya utafiti wa Twaweza yaeleza leo.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa.
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.

Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani