Utafiti: Watanzania wengi wanatunza fedha nyumbani
 Asilimia 70 ya Watanzania wanatunza fedha zao nyumbani badala ya mfumo rasmi ukiwamo benki na huduma nyingine za fedha, imebainika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
11 years ago
Mwananchi28 Aug
Kuwa na watoto wengi huchangia umasikini-Utafiti
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti
ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Tunao kina Hayatou wengi hapa nyumbani
11 years ago
Mwananchi22 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Waajiriwa wengi hufa maskini, tafakari ndugu
10 years ago
Mtanzania26 Sep
Magufuli: Watanzania tusidekezwe na utafiti
*Asema hawezi kuwa rais bila kupigiwa kura
*Aanza kurusha makombora Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Kahama
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutodekezwa na matokeo ya utafiti unaoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Busanda, Mbogwe ya mkoani Geita na majimbo ya Ushetu na Kahama Mjini ya mkoani Shinyanga.
Alisema katu...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Tume ya Sayansi yasaini mkataba fedha za utafiti
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia, imesaini mkataba wa dola milioni 600 za Marekani (sh bilioni 9) na Denmark, kwa ajili ya kuendeleza tafiti mbalimbali nchini. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Habarileo01 Apr
'Mawakili wengi ni wachuna fedha'
ONGEZEKO la Mawakili wa Kujitegemea wanaotetea wananchi katika mahakama za ngazi ya wilaya na mkoa nchini linadaiwa kusababisha mafuriko ya wanasheria hao ambapo baadhi sasa wamebainika kutumia fursa hiyo vibaya kwa ajili ya kujipatia fedha badala ya kuwatetea wananchi ili wapate haki yao kwa wakati.