Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuwa na watoto wengi huchangia umasikini-Utafiti

Ukubwa wa familia unachangia zaidi umaskini nchini, Benki ya Dunia (WB) imeeleza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti

ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Pilipili huchangia maisha marefu

Utafiti umeonyesha ulaji wa pilipili husaidia kuimarisha afya na kurefusha maisha ya binadamu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATAALAM WA UTAFITI WA HALI YA UMASIKINI WA KAYA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Joel Bendera akiwakaribisha washiriki wa mafunzo ya wiki 3 ya utafiti wa kufuatilia hali ya umasikini katika kaya mwaka 2014/15 mkoani Morogoro.…

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi

DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Umasikini kikwazo cha kulea watoto China

Wazazi wengi wanawapeleka watoto wao katika makao ya kuwahifdhi watoto kutokana na umaskini mkubwa

 

10 years ago

Dewji Blog

Kupunguza umasikini kuendelea kuwa lengo kuu la milenia- UN

IMG_01291

 

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Ugonjwa wa kisukari ni tishio kwa wengi

>Mpangilio mbovu wa lishe, kutokufanya mazoezi na wananchi kushindwa kujitokeza kupima afya mara kwa mara ni miongoni mwa sababu zinazochangia kuongezeka kwa wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani