Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Pilipili huchangia maisha marefu

Utafiti umeonyesha ulaji wa pilipili husaidia kuimarisha afya na kurefusha maisha ya binadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kuwa na watoto wengi huchangia umasikini-Utafiti

Ukubwa wa familia unachangia zaidi umaskini nchini, Benki ya Dunia (WB) imeeleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je unataka kuishi maisha marefu duniani ?

Utafiti wa miaka saba huko China unaonesha kuwa ukila vyakula hivi unajiongezea siku zako duniani,soma utafiti.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri za kiafya za kuishi maisha marefu

Aghalabu maisha ya mwanadamu yeyote yule yapo mikononi mwa muumba wake, ambaye hujua lini muda wa kuishi wa kiumbe wake utakwisha. Lakini mtindo wa maisha yetu usiojali kanuni za afya, umeonyesha kuwa ndicho chanzo cha watu wengi kuishi maisha mafupi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za sayansi za kusaidia mtu kuishi maisha marefu

>Kwa miaka mingi sana binadamu wa karne zote wamekuwa wakitafuta siri za maisha marefu, kuzuia uzee na hata kuzuia kifo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Paracetamol hufupisha maisha

Matumizi ya kila siku ya Paracetamol huongeza hatari ya ugonjwa wa moyo ,kiharusi na kusababisha mtu kuaga dunia mapema

 

10 years ago

Mtanzania

Utafiti: Paracetamol hufupisha maisha ya binadamu

paracetamol_0MWANDISHI WETU NA MASHIRIKA YA HABARI
MATUMIZI ya kila siku ya dawa za kupunguza maumivu za paracetamol huongeza hatari ya ugonjwa wa moyo, kiharusi na kufupisha maisha ya binadamu, utafiti mpya umeonya.
Paracetamol hupendelewa zaidi na madaktari wengi hudai zi salama kulinganisha na aspirin, ambayo imehusishwa na kuvuja damu tumboni na ibuprofen iliyohusishwa na magonjwa ya moyo na kiharusi.
Lakini watafiti wa Uingereza waliofanya uchunguzi huo uliowahusisha wagonjwa 666,000 wanasema hatari...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mzumbe, Tampere kuendesha utafiti kuimarisha maisha nchini

CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania. Kaimu Makamu Mkuu...

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70

Anorgasmia

Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.

Anorgasmia

Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.

Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.

Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ukosefu mipango huchangia mabadiliko tabianchi’

MKURUGENZI wa Shirika la Maendeleo la Mazombe Mahenge (MMADEA), Raphael Mtitu, amebainisha kuwa ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji ni kikwazo katika utekelezaji wa shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani