Umasikini kikwazo cha kulea watoto China
Wazazi wengi wanawapeleka watoto wao katika makao ya kuwahifdhi watoto kutokana na umaskini mkubwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Feb
Umasikini uliokithiri kikwazo cha kujiunga na CHF
UMASIKINI wa kipato uliokithiri miongoni mwa wananchi, upungufu wa dawa , vifaa na vifaa tiba katika vituo vinavyotoa huduma za afya wilayani Nkasi, vimetajwa kutoa changamoto kwa wananchi katika kujiunga na Mfuko wa Afya ya Msingi (CHF) wilayani humo.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Pinda ashiriki hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burudani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini Dar es salaam, Desemba 12, 2014. Chakula hicho kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wa maonyesho ya mavazi...
10 years ago
Habarileo07 Dec
Kituo cha kulea watoto chakatiwa maji
KITUO cha Kulea Watoto Wenye Ulemavu cha Buhanghija Jumuishi katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, kimekatiwa maji na Mamlaka ya Majisafi na Mazingira (Shuwasa) baada ya kudaiwa Sh milioni 8 za matumizi ya maji.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9Wji6dYOdI/VPmRQ32K7dI/AAAAAAAAQ8E/4DphWkGjRnQ/s1600/pix11.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mkibeba mimba mjue kulea watoto
KATIKA makala zangu za huko nyuma kupitia kona hii, niliwahi kuandika kuhusu baadhi ya akinadada ambao licha ya kutambua wazi kuwa sio vigori tena kwa maana wamekwishazaa, lakini bado wanataka...
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu
10 years ago
CloudsFM29 Dec
JOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME
Miss Tanzania namba mbili 2006, mwanamitindo na mcheza filamu, Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne, alipotembelea kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Zawadi alizotoa ni mchele, unga wa sembe, sabuni na ndala zenye nembo za Kidoti.
Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne.
10 years ago
MichuziJWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10