PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
Afisa Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akipena mikono na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vingunguti-Butiama jijini Dar es Salaam, Elvis Bwahama, wakati akikabidhi msaada wa mifuko ya saruji tani 3 na mabati, kwa ajili ya ujenzi kwenye kituo cha kulea watoto walio katika mazingira magumu, cha Lukema. Hafla ya kukabidhin msaada huo kwa kituo hichomnkinacholea watoto 70, ilifanyika Ijumaa Machi 6, 2015. Kushoto ni mwenyekiti wa kituo hicho, Fatuma Ramadhani.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA CHILD IN THE SUN WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE NA TCAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s0fgi4QraIQ/U9EFeMZ8jGI/AAAAAAAF5v8/aZVMceZnFh4/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
MichuziCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA(TAWLA) WAFUTURU NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA MWANA VINGUNGUTI JIJINI DAR.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPIYknIVYsg/VdhBFxc-vxI/AAAAAAAHzFg/VfMQMnfgi6U/s72-c/kk.jpg)
Wasichana walio katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kukuu Huria cha Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K_HQpw6DL3g/XmZHGDW-7jI/AAAAAAAAkWM/aSr9LTsPDIQBS2_4QnRBIzHBUR6DQ_p6QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
KITUO CHA FARAJA SINGIDA CHACHU YA MAPAMBANO DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA ULANGUZI WA BINADAMU, WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Xp-T4_iLv8w/U0uieOUcvFI/AAAAAAAFakQ/l2plRiJ2Czk/s72-c/unnamed+(1).jpg)
NITETEE FOUNDATION YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA KUTETEA WANAWAKE NA WATOTO WANAOSHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU TANZANIA.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...
10 years ago
MichuziTCAA WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA HNEW HOPE FAMILY KILICHOPO MWASONGA KIGAMBONI JIJINI DAR
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,PINDA AWAANDALIA CHAKULA CHA MCHANA TIMU YA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,WALIOTWAA KOMBE LA DUNIA