Wasichana walio katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kukuu Huria cha Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPIYknIVYsg/VdhBFxc-vxI/AAAAAAAHzFg/VfMQMnfgi6U/s72-c/kk.jpg)
Na erasto Ching’oro Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam na kutunukiwa vyeti vya umahiri na Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana ambaye alikuwa mgeni rasimi kwenye mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo (OUT) tarehe 20 Agosti, 2015. Mapema mwezi Januri, 2015 Chuo Kikuu Huria kwa ushirikiano na asasi ya ‘Nafasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9Wji6dYOdI/VPmRQ32K7dI/AAAAAAAAQ8E/4DphWkGjRnQ/s1600/pix11.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s72-c/bb.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15
![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s640/bb.jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Jan
PROGRAMU MAALUMU KWA WASICHANA INAYOENDESHWA NA CHUO KIKUU HURIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NlwzCpL50-Q/VHt6rS4xlEI/AAAAAAAG0aM/c_z8YcAH5G0/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Mahfali ya 26 ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania yafana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania { CKHT } katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na shughuli zao za kazi,ajira binafsi au kifamilia kama kawaida. Alisema wakati chuo hicho cha umma kinapotoa nafasi nzuri zaidi kwa Watanzania kupanua wigo wao wa elimu ya juu ni vizuri kwa wananchi kuitumia nafasi hiyo mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PitegS6w8tU/VH9AWkVBbOI/AAAAAAAG1Do/AGBzYfeMykk/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
wapiganaji walamba nondozzz Chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s72-c/ndc1.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA KOZI YA PILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s1600/ndc1.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10