wapiganaji walamba nondozzz Chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PitegS6w8tU/VH9AWkVBbOI/AAAAAAAG1Do/AGBzYfeMykk/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Mhariri Msanifu wa Gazeti la Mtanzania, Khamis Mkotya ametunukiwa Shahada ya Sayansi ya Jamii katika Siasa, Uongozi na Utawala (Political Science and Public Administration), baada ya kuhitimu masomo yake ya elimu ya juu. Mkotya pamoja na wahitimu wengine walitunukiwa shahada zao mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali ya 26 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika eneo la Bungo, Kibaha mkoani Pwani. Wahitimu wote walitunukiwa shahada zao na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dk. Asha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANAFUNZI 1,044 WALAMBA NONDOZZZ ZAO CHUO KIKUU CHA ARDHI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
walimu wala nondozzz Chuo Kikuu Huria
![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bpcLWynsriM/VIqLXqU4QCI/AAAAAAAG2q0/P57ny0L4NYQ/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v70FPmJmr2Q/VMP6GvRy8mI/AAAAAAAG_YI/g2WvsVrxHhM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Mama Tunu Pinda ala nondozzz chuo kikuu huria tawi la dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-v70FPmJmr2Q/VMP6GvRy8mI/AAAAAAAG_YI/g2WvsVrxHhM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-siwWFMelG2A/VMP6G8srEDI/AAAAAAAG_YM/1c3Gwr_uJHE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N6m45CtV57o/VIqMy3GwqpI/AAAAAAAG2rQ/cVbSXfAR4oM/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
MDAU NGULI CHIEF MKWAWA ALAMBA NONDOZZZ INGINE YA UZAMILI KUTOKA CHUO KIKUU HURIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6m45CtV57o/VIqMy3GwqpI/AAAAAAAG2rQ/cVbSXfAR4oM/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RooJcNG9KFk/VH3YHrGIoYI/AAAAAAAG01o/grYZ9-MMmAY/s72-c/IMG-20141202-WA011.jpg)
Mpiganaji Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne alamba Nondozzz yake katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-RooJcNG9KFk/VH3YHrGIoYI/AAAAAAAG01o/grYZ9-MMmAY/s1600/IMG-20141202-WA011.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-e0BaIHg1-MY/VH3YFj8rUWI/AAAAAAAG01Q/wV4fzXTTn50/s1600/IMG-20141202-WA007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7tiEgcbR72Q/VH3YFgv0a_I/AAAAAAAG01U/k1RtEinc7wI/s1600/IMG-20141202-WA008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1mlyrdmGsu4/VH3YFi4Fu4I/AAAAAAAG01Y/tOUPqmeh7z8/s1600/IMG-20141202-WA009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tgboL5SAURQ/VH3YHHFemOI/AAAAAAAG01k/Xk3tE9SCNmg/s1600/IMG-20141202-WA010.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NlwzCpL50-Q/VHt6rS4xlEI/AAAAAAAG0aM/c_z8YcAH5G0/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Mahfali ya 26 ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania yafana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania { CKHT } katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na shughuli zao za kazi,ajira binafsi au kifamilia kama kawaida. Alisema wakati chuo hicho cha umma kinapotoa nafasi nzuri zaidi kwa Watanzania kupanua wigo wao wa elimu ya juu ni vizuri kwa wananchi kuitumia nafasi hiyo mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cCNGY-qSHWA/VHtscAXIX2I/AAAAAAAG0Yw/C6bfq9tuZtU/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
ELIMU HAINA MWISHO...BRIGEDIA JENERALI (RTD) LIGATE ALAMBA NONDOZZZ ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCNGY-qSHWA/VHtscAXIX2I/AAAAAAAG0Yw/C6bfq9tuZtU/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
11 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA KUINGIA USHIRIKIANO RASMI NA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...