NITETEE FOUNDATION YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA KUTETEA WANAWAKE NA WATOTO WANAOSHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xp-T4_iLv8w/U0uieOUcvFI/AAAAAAAFakQ/l2plRiJ2Czk/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Nguvu imeongezeka katika jitihada za kusaidia jamii ya wanaoishi mazingira magumu hapa nchini baada ya kuzinduliwa taasisi inayojishughulisha na kutoa misaada ya kibinaadamu kwa wanawake na watoto walio kwenye mahitaji makubwa hasa jamii ya vijijini na nje ya miji, inayojulikana kama NITETEE FOUNDATION toka jijini Mwanza. Shirika hilo la maendeleo kwa ajili ya wanawake na watoto nchini Tanzania lilizinduliwa usiku wa Jumapili na mgeni rasmi ambae alikuwa ni mke wa Naibu Waziri wa Uchukuzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9Wji6dYOdI/VPmRQ32K7dI/AAAAAAAAQ8E/4DphWkGjRnQ/s1600/pix11.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAANDISHI WANAWAKE WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU-UTAFITI
![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
MichuziWATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU JIJINI ARUSHA KUJENGEWA HOSTEL
Mkurugenzi wa shirika la Gola linalojihusisha na masuala ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu jijini Arusha,Sawale Maghema amesema kuwa mpango huo utasaidia watoto hao kuondokana na mazingira magumu yanayowapelekea kujiingiza katika vitendo vya uhalifu na matumizi ya madawa ya...
11 years ago
GPLWATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU MTWARA WAKOSA MAHALI PA KUISHI
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Tanzania Media Foundation (TMF) mpya yazinduliwa rasmi!
Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa Septemba 22.2015, katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation – Mfuko wa Habari Tanzania – TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia Septemba 22.2015 kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua...
10 years ago
Michuzi23 Jan
WANAHABARI WAHIMIZWA KUWASILISHA MASUALA YAHUSUYO WATOTO YATIMA NA WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![SAM_0796](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/LbLa6GdJVrDr02GbqGGQijVGkLaNfwFwP-807qcXSux3RDKPxPRxk5fZiHRT9X3wl2R4eoPCtr5vlUhQdloNUp7rl24M3aIB7yPdWMPxZKIM5hqV9B12Q9s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/01/sam_0796.jpg?w=660)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s72-c/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s640/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4WhdcZtdqRI/Vlr6AQu1djI/AAAAAAAIJAw/WxR8aOQgHNk/s640/a5200119-89c2-4aa4-903e-b531747c7f08.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10