'Mawakili wengi ni wachuna fedha'
ONGEZEKO la Mawakili wa Kujitegemea wanaotetea wananchi katika mahakama za ngazi ya wilaya na mkoa nchini linadaiwa kusababisha mafuriko ya wanasheria hao ambapo baadhi sasa wamebainika kutumia fursa hiyo vibaya kwa ajili ya kujipatia fedha badala ya kuwatetea wananchi ili wapate haki yao kwa wakati.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania