Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti Ukawa 76% mwingine Dk. Magufuli 62%.

Siku mbili baada ya ripoti ya utafiti uliofanywa na Twaweza kwa njia ya simu kuonyesha kuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli angeshinda kwa asilimia 66, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetangaza matokeo ya utafiti wao yanayompa mgombea wao kupitia Chadema, Edward Lowassa, ushindi wa zaidi ya asilimia 76.

Hata hivyo, vita kuhusiana na ripoti za utafiti baina ya CCM na Ukawa imechukua sura mpya baada ya utafiti mwingine kutangazwa kupitia taarifa zilizosambazwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ukawa waibua maswali 18 utafiti Twaweza

Matokeo ya utafiti wa Twaweza kuhusu Uchaguzi Mkuu uliotolewa siku tatu zilizopita yameendelea kupingwa, safari hii Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ukiibua hoja tisa walizoita za propaganda na kasoro nyingine tisa za kiufundi.

 

10 years ago

Raia Mwema

Jogoo ni Magufuli, mwingine ajaribu baadaye

SASA kumekucha, jogoo limekwisha wika Dodoma, kada wa CCM apewe kura za ndiyoooo!

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Magufuli kamsimamisha mwingine Dec 22 2015…(+Audio)

Leo Dec 22 2015 Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard. Hapa nimekusogeze dakika mbili za Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akitolea ufafanuzi wa hatua hiyo ya Rais. Bonyeza Play hapa chini kuna kila kitu Unataka kutumiwa MSG za […]

The post Rais Magufuli kamsimamisha mwingine Dec 22 2015…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Watanzania tusidekezwe na utafiti

g4*Asema hawezi kuwa rais bila kupigiwa kura

*Aanza kurusha makombora Ukawa

Na Bakari Kimwanga, Kahama

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutodekezwa na matokeo ya utafiti unaoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali.

 

Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Busanda, Mbogwe ya mkoani Geita na majimbo ya Ushetu na Kahama Mjini ya mkoani Shinyanga.

 

Alisema katu...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli apaa utafiti Synovate

UTAFITI mpya wa kampuni ya Ipsos (Synovate) unaonesha kwamba mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli atashinda kwa asilimia 62 dhidi ya asilimia 31 za mgombea wa Chadema, Edward Lowassa, endapo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ungefanyika leo.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aongoza utafiti Ipsos

Kampuni ya Ipsos jana ilitangaza matokeo ya utafiti wake wa hali ya kisiasa unaoonyesha kuwa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli angeshinda kwa asilimia 62 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika Septemba, huku mgombea wa Chadema, Edward Lowassa akipata asilimia 31.

 

9 years ago

Vijimambo

Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%

Mkurugenzi Mkuu wa Twaweza, Aidan Eyakuze akihojiwa na wanahabari
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.

Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti Twaweza waibeba CCM, asilimia 65 kumchagua Magufuli

Asilimia 62 ya wananchi wamesema wako karibu na CCM huku asilimia nyingine 65 wakisema watamchagua mgombea wa CCM, Dk. John Magufuli kuwa rais wa awamu ya tano, matokeo ya utafiti wa Twaweza yaeleza leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani