Utafiti: Watanzania wanapenda kubaki EAC
WANANCHI wanane kati ya 10 wanafikiri kuwa Tanzania inapaswa kubakia ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha, wananchi tisa kati ya 10 wanakubali uwepo ushirikiano mkubwa zaidi na Kenya na Uganda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Utafiti:Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
KELVIN NYOMARI: Watanzania wanapenda starehe kuliko kazi
KUTOKANA na taifa kukabiliwa na changamoto ya ajira, vijana wengi hujiingiza kwenye biashara ya mihadarati. Vijana wamekuwa wakitumiwa na baadhi ya vigogo kusafirisha dawa hizo za kulevya nje ya nchi,...
10 years ago
Mtanzania26 Sep
Magufuli: Watanzania tusidekezwe na utafiti
*Asema hawezi kuwa rais bila kupigiwa kura
*Aanza kurusha makombora Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Kahama
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amewataka Watanzania kutodekezwa na matokeo ya utafiti unaoendelea kutolewa na taasisi mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Busanda, Mbogwe ya mkoani Geita na majimbo ya Ushetu na Kahama Mjini ya mkoani Shinyanga.
Alisema katu...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Utafiti: Watanzania wengi wanatunza fedha nyumbani
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Utafiti: Watanzania hawataki Serikali kuingilia vyombo vya habari
Elias Msuya, Dar es Salaam
ASILIMIA 65 ya Watanzania wanapenda kuona vyombo vya habari vikichunguza ufisadi unaofanyika serikalini.
Hayo yamo katika ripoti ya Afrobarometer ya mwaka 2014, inayotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo na Kuondoa Umaskini (Repoa).
Ripoti hiyo, imekuja wiki chache baada ya Bunge la Tanzania kupitisha miswada ya Makosa ya Mtandao na Sheria ya Takwimu katika habari za mwaka 2015, zinazokosolewa na wadau, huku wakimshinikiza Rais Jakaya Kikwete asitie saini ili...
10 years ago
Habarileo13 Dec
Watanzania wana uelewa, imani na EAC
WATANZANIA wengi wametajwa kuwa wanafahamu, kuelewa, na wana maoni chanya kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
10 years ago
Michuzi
WATANZANIA WANAOFANYAKAZI EAC WAADHIMISHI MUUNGANO HOSPITALI YA WILAYA YA MERU
Umoja wa Watanzania wanaofanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(WATJAM)yenye makao yake makuu jijini Arusha katika kuhadhimisha Sikukuu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo wametembelea hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Meru kufanya usafi na kutoa misaada mbalimbali yenye thamani ya zaidi ya Shilingi 3.7 milioni
Mwenyekiti wa umoja huo,James Kuleiye amesema wao kama watanzania wameona waitumie siku ya leo kufanya shughuli za kijamii na kuwa karibu na...
11 years ago
Michuzi01 Mar
SHY-ROSE AIOMBA SERIKALI YA TANZANIA KUWEZESHA WATANZANIA WAIFAHAMU EAC NA FAIDA ZAKE
