Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WANAOFANYAKAZI EAC WAADHIMISHI MUUNGANO HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

Na Mwandishi Wetu
Umoja wa Watanzania wanaofanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(WATJAM)yenye makao yake makuu jijini Arusha katika kuhadhimisha Sikukuu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo wametembelea hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Meru kufanya usafi na kutoa misaada mbalimbali yenye thamani ya zaidi ya Shilingi 3.7 milioni
Mwenyekiti wa umoja huo,James Kuleiye amesema wao kama watanzania wameona waitumie siku ya leo kufanya shughuli za kijamii na kuwa karibu na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME

Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria shighuli ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Kuni ,Bomang'ombe wilayani Hai.Wananchi wakiwa wamezingira magari hayo wakiyatizama kwa karibu.Mbunge wa jimbo la Hai ,akiuzungumza juu ya msaada huo kwa watu wa jimbo la Hai.Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akikabidhi nyaraka mbalimbali za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Mt. Meru yakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa

 

unnamed (1)

Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group, Faustine Mwanadago (kushoto)akimkabidhi msaada wa mashuka na maji muuguzi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Mt Meru, Sifael Masawe jana kikundi hicho kilipofanya ziara ya kutembelea wagonjwa hospitalini hapo, jumla ya mashuka 300 na maji katoni 10 zenye thamani ya zaidi ya sh. 2 milioni zilikabidhiwa ,anayeshuhudia pembeni ni Makamu mwenyekiti wa kikundi hicho, Jasmine Kiure.

unnamed

Mwenyekiti wa kikundi cha Upendo Family Group ,Faustine...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU

Na WAMJW- ARUSHA

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.

Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...

 

5 years ago

Michuzi

KANISA LA KKKT WATOA VIFAA KINGA KWA HOSPITALI YA MT.MERU


  Na.Vero Ignatus.Arusha
Kamati ya kusaidia ya wasijiweza (Diakonia)kutoka kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Engarenarok mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametoa msaada wa barakoa 1650 katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Arusha Mount Meru
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo hapo jana ,Askofu wa Dayosisi ya kaskazini kati Dkt. Solomon Jacob Masangwa alisema kuwa madaktari na wauguzi ni rasilimali muhimu sana ,hivyo kumuandaa daktari mmoja ni garama...

 

11 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA

 Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakiwa kwenye picha ya  pamoja na wafanyakazi wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha baada ya kupokea msaada wa kitanda maalumu chenye thamani ya shilingi Milioni 11 kwa ajili ya akina  mama kutumia wakati wa kujifungua  na vifaa tiba mbalimbali, msaada huo ulitolewa na tawi la benki hiyo mkoani arusha. Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akiwa...

 

11 years ago

GPL

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA‏

Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akipokea msaada wa  kitanda na vifaa tiba mbalimbali kutoka kwa Meneja  benki ya KCB Tanzania tawi la arusha Judith Lubuva kwa ajili ya akina mama wenye matatizo ya uzazi wanaotibiwa katika hospitali hiyo.Benki hiyo pia ilitoa msaada wa kitanda kwaajili ya kinamama wakati wa kujifungulia chenye thamani ya zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI YATEMBELEA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA

 Watumishi wa Hospitali ya Mount Meru wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hayupo pichani) alipowasili katika hospitali hiyo.
 Wajumbe wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya pamoja na watumishi wa Afya wa Hospitali ya Mount Meru wakisikiliza kwa makini taarifa inayowasilishwa ya hali ya wagonjwa wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na takwimu za ugonjwa huo kwa Jiji la Arusha.
 Susan Lyimo akichangia jambo baada ya...

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AFAGIA UONGOZO HOSPITALI YA MAUNT MERU

Na WAMJW- ARUSHANaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safi ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...

 

9 years ago

Michuzi

EAC SECRETARY GENERAL PRAISES MOUNT MERU UNIVERSITY’S CONTRIBUTION TOWARDS REGIONAL INTERGRATION

The East African Community (EAC) Secretary General, Amb. Dr. Richard Sezibera graced the 11th graduation ceremony at Mount Meru University as chief guest over the weekend.
While addressing the gathering, the Secretary General appreciated the efforts by the institute towards achieving academic excellence, adding that it a shining example of integration at work.“I cannot overemphasize the fundamental role that education plays in uniting people,” said Amb. Sezibera.
“Today you are all...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani