HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA
Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akipokea msaada wa kitanda na vifaa tiba mbalimbali kutoka kwa Meneja benki ya KCB Tanzania tawi la arusha Judith Lubuva kwa ajili ya akina mama wenye matatizo ya uzazi wanaotibiwa katika hospitali hiyo.Benki hiyo pia ilitoa msaada wa kitanda kwaajili ya kinamama wakati wa kujifungulia chenye thamani ya zaidi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RfT1AGZbDA/U7hIHiXYcCI/AAAAAAAFvME/nkX-2A_r1RI/s72-c/unnamed+(34).jpg)
HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RfT1AGZbDA/U7hIHiXYcCI/AAAAAAAFvME/nkX-2A_r1RI/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yEWLwM7Uvms/U7hIH3tcGvI/AAAAAAAFvMM/3BLMF3LH8Yg/s1600/unnamed+(35).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCMZZBKZ1Vc/XmEAb92r8XI/AAAAAAALhSA/3Cr-y1P6DFQYeRU6vEOpJk0K31odarJuACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI YATEMBELEA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GCMZZBKZ1Vc/XmEAb92r8XI/AAAAAAALhSA/3Cr-y1P6DFQYeRU6vEOpJk0K31odarJuACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oaZHDxbpv5w/XmEAcy49FBI/AAAAAAALhSE/Ly6EvvOd0DstRivx6tmd6tu9Pk9hryBqQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E4GDUwXBV1M/XmEAdMze3vI/AAAAAAALhSI/UbdzyjaYkIYzs1P0-YUtE5Uo3TuzbHivQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
GPLTBL YAFANIKISHA UPANDANJI MITI 1250 CHUO KIKUU CHA MOUNT MERU ARUSHA
11 years ago
GPLBENKI YA KCB TANZANIA YAENDELEA KUSAIDIA JAMII
11 years ago
GPLBENKI YA KCB TANZANIA YAMWAGA MISAADA JIJINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aw_WYttDLkA/Xtx3j2t0SbI/AAAAAAALs3E/OMqhslQGwlQ0iaSoTy72MSu6cPQSvOS_wCLcBGAsYHQ/s72-c/f047ff30-bf69-419a-b815-fd8c9ada6dc5.jpg)
DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
11 years ago
CloudsFM08 Jul
KITU KINACHOSADIKIWA NI BOMU CHALIPUKA ARUSHA, JIRANI NA HOTELI YA MOUNT MERU
Kitu kinachosadikiwa ni bomu kimelipuka na inasemekana watu wamefariki dunia katika mgahawa wa Wama uliopo maeneo ya Gymkhana jijini Arusha.
Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu zaidi ya 8 kujeruhiwa vibaya, idadi ya waliopoteza maisha bado haijajulikana, majeruhi wote wamepelekwa katika hospitali ya Seliani jijini Arusha.Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.
9 years ago
Michuzi22 Sep
MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA
![](http://www.pulsarnet.com/mtmeru/banner.jpg)
Katibu wa chama cha riadha mkoani hapa Alfredo Shahanga alisema kwuwa mbio hizo ni za...
11 years ago
MichuziTBL YAFANIKISHA UPANDANJI MITI 1250 CHUO KIKUU CHA MOUNT MERU ARUSHA