Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITU KINACHOSADIKIWA NI BOMU CHALIPUKA ARUSHA, JIRANI NA HOTELI YA MOUNT MERU

Kitu kinachosadikiwa ni bomu kimelipuka na inasemekana watu wamefariki dunia katika mgahawa wa Wama uliopo maeneo ya Gymkhana jijini Arusha. Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu zaidi ya 8 kujeruhiwa vibaya, idadi ya waliopoteza maisha bado haijajulikana, majeruhi wote wamepelekwa katika hospitali ya Seliani jijini Arusha.Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KITU KINACHOSADIKIWA KUWA BOMU KIMEGUNDULIKA DAR

Lenard Thomas aliyekuwa anaenda kuwasha moto kwenye takataka zilizokuwa juu ya kitu hicho kinachosadikika kuwa ni bomu. Picha ya kitu kinachosadikika kuwa ni bomu kimegundulika maeneo ya Kijitonyama,  jijini Dar.
Gari la uchafu likiwa linaenda kuchukua  uchafu eneo la tukio.…

 

10 years ago

Michuzi

MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA

Na Woinde Shizza,ArushaBaada ya kutokuwepo kwa mbio za riadha zijulikanazo kama mount meru Marathon kwa miaka 15 sasa ,hatimaye wadau wa mchezo wamjitokeza na kurudisha mbio hizo ambazo zinatarajiwa kufanyika  octoba 4 jijini Arusha.Mbio hizo za km 21 zilifanyika mara ya mwisho mwaka 2000,ambapo hazikuendelea tena kutokana na kukosa wadhamini hali iliyopelekea kukosa hamasa kwa wanariadha  mabalimbali.
Katibu wa chama cha riadha mkoani hapa  Alfredo Shahanga alisema kwuwa mbio hizo ni za...

 

11 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA

 Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakiwa kwenye picha ya  pamoja na wafanyakazi wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha baada ya kupokea msaada wa kitanda maalumu chenye thamani ya shilingi Milioni 11 kwa ajili ya akina  mama kutumia wakati wa kujifungua  na vifaa tiba mbalimbali, msaada huo ulitolewa na tawi la benki hiyo mkoani arusha. Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akiwa...

 

11 years ago

GPL

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA‏

Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akipokea msaada wa  kitanda na vifaa tiba mbalimbali kutoka kwa Meneja  benki ya KCB Tanzania tawi la arusha Judith Lubuva kwa ajili ya akina mama wenye matatizo ya uzazi wanaotibiwa katika hospitali hiyo.Benki hiyo pia ilitoa msaada wa kitanda kwaajili ya kinamama wakati wa kujifungulia chenye thamani ya zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI YATEMBELEA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA

 Watumishi wa Hospitali ya Mount Meru wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hayupo pichani) alipowasili katika hospitali hiyo.
 Wajumbe wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya pamoja na watumishi wa Afya wa Hospitali ya Mount Meru wakisikiliza kwa makini taarifa inayowasilishwa ya hali ya wagonjwa wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na takwimu za ugonjwa huo kwa Jiji la Arusha.
 Susan Lyimo akichangia jambo baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YAFANIKISHA UPANDANJI MITI 1250 CHUO KIKUU CHA MOUNT MERU ARUSHA


 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Maunt Meru, mkoani Arusha Mchungaji Profesa Harrison Olang' (kulia), akishikana mikono na Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL), Bw. Devis Deogratius, baada ya kampuni hiyo kutoa miti 1300 kwa ajili ya mkoa wa Arusha, ambapo miti 1250 ilipandwa Chuoni hapo na miti 50 ilipandwa kwenye kiwanda cha TBL.
 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), mkoani Arusha Bw. Devis Deogratius (aliyepiga magoti), akishiriki kupanda moja ya...

 

11 years ago

GPL

TBL YAFANIKISHA UPANDANJI MITI 1250 CHUO KIKUU CHA MOUNT MERU ARUSHA‏

 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Maunt Meru, mkoani Arusha Mchungaji Profesa Harrison Olang' (kulia), akishikana mikono na Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL), Bw. Devis Deogratius, baada ya kampuni hiyo kutoa miti 1300 kwa ajili ya mkoa wa Arusha, ambapo miti 1250 ilipandwa Chuoni hapo na miti 50 ilipandwa kwenye kiwanda cha TBL.
 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni… ...

 

10 years ago

It Wasn't Volcano Eruption But Forest Fire

Mount Meru


Mount Meru - It Wasn't Volcano Eruption but Forest Fire
AllAfrica.com
A number of local and foreign media outlets, including online social networks, went berserk last weekend amid speculations that Mount Meru, which is Tanzania's second highest peak after Kilimanjaro, was undergoing volcanic actions. The reports, that ...
Preparation doesn't assure victory, it assures confidenceDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

Mtanzania

Uhaba wa damu waikumba Mount Meru

blood20Na Mwandishi Wetu, Arusha

HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama  kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji  damu hospitalini hapo.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti,  alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa  ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka  akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .

Kutokana na upungufu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani