DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU
Na WAMJW- ARUSHA
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogNAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AFAGIA UONGOZO HOSPITALI YA MAUNT MERU
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
11 years ago
MichuziHOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA
11 years ago
GPLHOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI YATEMBELEA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA
Wajumbe wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya pamoja na watumishi wa Afya wa Hospitali ya Mount Meru wakisikiliza kwa makini taarifa inayowasilishwa ya hali ya wagonjwa wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na takwimu za ugonjwa huo kwa Jiji la Arusha.
Susan Lyimo akichangia jambo baada ya...
9 years ago
It Wasn't Volcano Eruption But Forest Fire28 Sep
Mount Meru
Mount Meru - It Wasn't Volcano Eruption but Forest Fire
AllAfrica.com
A number of local and foreign media outlets, including online social networks, went berserk last weekend amid speculations that Mount Meru, which is Tanzania's second highest peak after Kilimanjaro, was undergoing volcanic actions. The reports, that ...
Preparation doesn't assure victory, it assures confidenceDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Uhaba wa damu waikumba Mount Meru
Na Mwandishi Wetu, Arusha
HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji damu hospitalini hapo.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti, alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .
Kutokana na upungufu...
10 years ago
MichuziMOUNT MERU WINS HOSPITALITY EXCELLENCE AWARD
TripAdvisor enables travellers around the world to plan and book the...
9 years ago
TheCitizen06 Oct
Mount Meru Marathon winners eye Rio ticket
10 years ago
Coastweek31 Oct
Tanzanian police seize eight tonnes of marijuana on Mount Meru
Tanzanian police seize eight tonnes of marijuana on Mount Meru
Coastweek
ARUSHA, Tanzania (Xinhua) -- Tanzanian police confirm they have seized 9,102 kg of marijuana in an ongoing crackdown operation in northern part of the country. Arusha Regional Police Commander Liberatus Sabas said the seizure follows an operation ...
Over 9000 kg marijuana seized in TanzaniaOdisha Sun Times
Tanzanian police seize 9 tonnes of marijuanaShanghai Daily (subscription)
Nine Killed After Oil Truck Rams Into Van in...