Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU

Na WAMJW- ARUSHA

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.

Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AFAGIA UONGOZO HOSPITALI YA MAUNT MERU

Na WAMJW- ARUSHANaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safi ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...

 

11 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA

 Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru wakiwa kwenye picha ya  pamoja na wafanyakazi wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha baada ya kupokea msaada wa kitanda maalumu chenye thamani ya shilingi Milioni 11 kwa ajili ya akina  mama kutumia wakati wa kujifungua  na vifaa tiba mbalimbali, msaada huo ulitolewa na tawi la benki hiyo mkoani arusha. Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akiwa...

 

11 years ago

GPL

HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA YAPIGWA JEKI NA BENKI YA KCB TANZANIA‏

Daktari wa kitengo maalum cha wakina mama katika hospitali ya Mount Meru ya jijini Arusha,Mathew Kasumuni(Kushoto) akipokea msaada wa  kitanda na vifaa tiba mbalimbali kutoka kwa Meneja  benki ya KCB Tanzania tawi la arusha Judith Lubuva kwa ajili ya akina mama wenye matatizo ya uzazi wanaotibiwa katika hospitali hiyo.Benki hiyo pia ilitoa msaada wa kitanda kwaajili ya kinamama wakati wa kujifungulia chenye thamani ya zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI YATEMBELEA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA

 Watumishi wa Hospitali ya Mount Meru wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hayupo pichani) alipowasili katika hospitali hiyo.
 Wajumbe wa Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya pamoja na watumishi wa Afya wa Hospitali ya Mount Meru wakisikiliza kwa makini taarifa inayowasilishwa ya hali ya wagonjwa wanaoishi na virusi vya ukimwi pamoja na takwimu za ugonjwa huo kwa Jiji la Arusha.
 Susan Lyimo akichangia jambo baada ya...

 

9 years ago

It Wasn't Volcano Eruption But Forest Fire

Mount Meru


Mount Meru - It Wasn't Volcano Eruption but Forest Fire
AllAfrica.com
A number of local and foreign media outlets, including online social networks, went berserk last weekend amid speculations that Mount Meru, which is Tanzania's second highest peak after Kilimanjaro, was undergoing volcanic actions. The reports, that ...
Preparation doesn't assure victory, it assures confidenceDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

Mtanzania

Uhaba wa damu waikumba Mount Meru

blood20Na Mwandishi Wetu, Arusha

HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama  kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji  damu hospitalini hapo.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti,  alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa  ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka  akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .

Kutokana na upungufu...

 

10 years ago

Michuzi

MOUNT MERU WINS HOSPITALITY EXCELLENCE AWARD

The world’s largest travel site TripAdvisor has awarded 2014 Certificate of Excellence to Mount Meru in Arusha National Park which emerged a winner. This prestigious award is based on the quality of reviews and opinions submitted by various travellers around the world to TripAdvisor over the past year. The award also signifies that Mount Meru has consistently earned outstanding feedback from TripAdvisor travellers.
TripAdvisor enables travellers around the world to plan and book the...

 

9 years ago

TheCitizen

Mount Meru Marathon winners eye Rio ticket

Winners of the Mount Meru Marathon, Angelina Tsere and Marco Sylvester are optimistic that Sunday’s feats will motivate them in their pursuit for the 2016 Rio Olympics tickets.

 

10 years ago

Coastweek

Tanzanian police seize eight tonnes of marijuana on Mount Meru


Tanzanian police seize eight tonnes of marijuana on Mount Meru
Coastweek
ARUSHA, Tanzania (Xinhua) -- Tanzanian police confirm they have seized 9,102 kg of marijuana in an ongoing crackdown operation in northern part of the country. Arusha Regional Police Commander Liberatus Sabas said the seizure follows an operation ...
Over 9000 kg marijuana seized in TanzaniaOdisha Sun Times
Tanzanian police seize 9 tonnes of marijuanaShanghai Daily (subscription)
Nine Killed After Oil Truck Rams Into Van in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani