NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AFAGIA UONGOZO HOSPITALI YA MAUNT MERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-UYJcLH-Hixg/Xtx6IL2q6sI/AAAAAAAC69k/P3w3lXKl3lM23GUVxHdeqCjax_c4RkrWwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na WAMJW- ARUSHANaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safi ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A9ANvk03BiI/XuCPh6n8QNI/AAAAAAAAVXA/rJhFNTT11nAmROz4NqOp4jLRvf6o5Ki6QCLcBGAsYHQ/s72-c/0f346207-5dc6-4a08-a2d0-840555665cdb.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. GODWIN MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI NAMANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A9ANvk03BiI/XuCPh6n8QNI/AAAAAAAAVXA/rJhFNTT11nAmROz4NqOp4jLRvf6o5Ki6QCLcBGAsYHQ/s400/0f346207-5dc6-4a08-a2d0-840555665cdb.jpg)
Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.
Dkt....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aw_WYttDLkA/Xtx3j2t0SbI/AAAAAAALs3E/OMqhslQGwlQ0iaSoTy72MSu6cPQSvOS_wCLcBGAsYHQ/s72-c/f047ff30-bf69-419a-b815-fd8c9ada6dc5.jpg)
DKT. MOLLEL AONDOA UONGOZI WA HOSPITALI YA MOUNT MERU
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Shafii Msechu ikiwa ni sehemu ya maboresho katika Sekta ya Afya.
Dkt. Mollel ametoa agizo hilo wakati alipofanya ziara katika Hospitali hiyo na kuzungumza na timu ya uendeshaji wa huduma za Afya ya Mkoa ukiongozwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL ATEMBELEA BOHARI KUU YA DAWA (MSD) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw_PauBelXI/XvdEAZMR7kI/AAAAAAAC8jA/JYe4WGrVv3IlZ9ZKG4plEIK7H5avORfpACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Bohari ya Dawa Jijini Dar es Salaam Dkt Mollel amesema lengo la kutembelea taasisi hiyo ni kuangalia maboresho katika uagizaji, utunzaji na usambazaji wa dawa vifaa tiba na vitendanishi vya maabara ili kuboresha huduma ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wAK3_c1QKl4/XsAu_T-AjzI/AAAAAAALqg4/7U_3UGOMUrMubTy7lqHkrJNJz9X7XSQAACLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAKE WATEMBELEA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA, ZANZIBAR
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA NAIBU WAKE WATEMBELEA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA,ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Waziri wa Afya na Naibu wake wafanya ziara za kushtukiza katika hospitali ya Mwananyamala na Amana
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangala akiwasili katika Hospitali ya rufaa ya Amana iliyopo Ilala, Dar es Salaam alipofanya ziara ya kushtukiza baada ya sherehe za kuapishwa.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala ikiwa ni masaa machache tangu kutoka kuapishwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s72-c/Ndugulile.jpeg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT NDUGULILE ATOA UFAFANUZI KUHUSU BARAKOA NA MATUMIZI YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fLi9aQ62Lc/XpwmXLuw_iI/AAAAAAALnaA/hf_P5nq6quEGj6wSgDHiHq8-hEZlo13JACLcBGAsYHQ/s640/Ndugulile.jpeg)
NA DK FAUSTINE NDUGULILE
Kuna clip inazunguka mitandaoni nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini.
2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na...