Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wana uelewa, imani na EAC

WATANZANIA wengi wametajwa kuwa wanafahamu, kuelewa, na wana maoni chanya kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

TZ: Wengi wana uelewa finyu kuhusu HIV

Baadhi ya jamii ya wananchi hawana uelewa kuhusu elimu ya utoaji huduma za virusi vya ukimwi na uzuiaji virusi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Watanzania hawana uelewa wa mirathi’

Malalamiko na maswali kuhusu mirathi na talaka jana yalitawala katika Maonyesho ya Wiki ya Sheria, yaliyohitimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.

 

10 years ago

Habarileo

TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume hiyo, Dk Fatma MrishoTUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania wengi hawana uelewa kuhusu tatizo la usonji - Mama Salma Kikwete

Na Anna Nkinda – Maelezo
Watanzania wengi hawana uelewa  wa tatizo la usonji (Autism)  kwa watoto hivyo basi uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika  ili watu watambue  tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma kikwete wakati akiongea na Prof. Andy Shih ambaye ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa Mambo ya kisayansi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Autism Speaks katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) zilizopo jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Watanzania hawana imani na waganga wa jadi?

Kila baada ya hatua chache katika majiji makubwa kama Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Tanga, si ajabu kukutana na mabango ya biashara ya kutibu nguvu za kiume, kukuza sehemu za uume, kuongeza makalio, akili za darasani, nyota ya maisha na magonjwa ya zinaa.

 

11 years ago

Michuzi

KINGUNGE AWATAKA WATANZANIA KUONDOKANA NA IMANI POTOFU JUU YA TIBA ASILIA


2 (14)Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME), Kingunge Ngombale (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia  katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam. (kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani. Kingunge amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili 3 (9)Lucey Samwel, kutoka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania asilimia13 wana vyeti vya kuzaliwa

OFISA Habari wa Mamlaka ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Jafari Malema amesema asilimia 13 ya Watanzania wote milioni 45 ndiyo wenye vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na Tanznaia Daima lilipotembelea...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA NA WANA CCM WOTE WA TAWI LA NEW YORK.

Ni takribani siku 29 zimepitatangu marehemu Alfred Magege alipo aga dunia mnano 6/13/15 na kuzikwa6/28/15. Familia ya marehemu bado haijasahau na haitasahau moyo wapekee uliojaa upendo, faraja, ukarimu, umoja, mshikamano, undugu naurafiki wa kweli wakati wa kipindi hicho kigumu cha msiba.Kushiriki kwenu kumeipa familia imani, sababu, na nguvunyingine ya kuendelea kukabili maisha pasipo hofu tukitambua familiakubwa iliyotuzunguka kipindi hicho na Mwenyezi Mungu anayetunza sikukwa siku tukiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi

Matokeo ya utafiti yaliyotolewa leo yanaonyesha wengi wana wasiwasi juu ya vitisho vya mashambulio dhidi ya Tanzania siku zijazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani