Kwa nini Watanzania hawana imani na waganga wa jadi?
Kila baada ya hatua chache katika majiji makubwa kama Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Tanga, si ajabu kukutana na mabango ya biashara ya kutibu nguvu za kiume, kukuza sehemu za uume, kuongeza makalio, akili za darasani, nyota ya maisha na magonjwa ya zinaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
Mabinti watoa mimba kwa waganga wa jadi
WATOTO wanaokatisha masomo kwa kupata ujauzito na wengine wanaopata mimba kabla ya ndoa wakiwa nyumbani, wanadaiwa kujihusisha na utoaji mimba kwa waganga wa jadi kutokana na hofu ya kutengwa na jamii.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Waganga wa jadi Moshi waonyana
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Waganga 13 wa jadi watiwa mbaroni Katavi
NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi, limewakamata waganga 13 wa jadi katika Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele, kwakudaiwa kufanya kazi hiyo bila vibali maalumu.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari, aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba, waganga hao walikamatwa baada ya msako uliofanyika Machi 14 na 15 mwaka huu.
Pamoja na waganga hao kukamatwa, pia walipopekuliwa kwenye nyumba zao walikutwa na vitu mbalimbali wanavyovitumia kufanyia shughuli...
9 years ago
Habarileo25 Dec
Matangazo ya waganga wa jadi yapigwa marufuku
SERIKALI imepiga marufuku matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuanzia jana. Aidha, wale wote wenye vibali wanatakiwa kuwasilisha vibali na matangazo hivyo katika Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala kwa ajili ya kuvifanyia mapitio upya.
10 years ago
Mtanzania08 Apr
vibali vya waganga wa jadi kusitishwa Same
NA RODRICK MUSHI, SAME
SERIKALI wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, imesema itafanya tathmini ya vibali vyote vya waganga wa jadi vilivyokwisha muda wake.
Pamoja na tathmini hiyo, pia uongozi utasimamisha kwa muda utoaji wa vibali vipya vya waganga wa jadi.
Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu Tawala Wilaya ya Same, Mashauri Msangi alipozungumza kwenye maadhimisho ya siku ya ulemavu wa ubongo duniani.
“Tutafanya tathmini ya vibali na tutasimamisha vibali vipya bila hofu ya kurogwa kwa vile...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Igunga watakiwa kufichua waganga wa jadi matapeli
WANANCHI wilayani Igunga mkoani Tabora wametakiwa kuwafichua waganga wa jadi matapeli hasa wale wanaoshiriki katika mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi albino ili waweze kufikishwa katika vyombo vya sheria.
11 years ago
Habarileo15 Jun
DC aagiza kukamatwa waganga wa jadi wanaosaidia wajawazito
MKUU wa Wilaya Kibondo, Venance Mwamotto ametoa agizo kukamatwa kwa waganga wa kienyeji wanaowapa wajawazito dawa za kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s72-c/DSC_0296.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WAGANGA WA JADI WANAOPIGA RAMLI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JXoWjEV4zf4/VLUn4AdnUlI/AAAAAAAG9Hc/ubpxi_4ZxnU/s1600/DSC_0296.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MARUFUKU WAGANGA WA JADI KUPOKEA WAGONJWA WASIO NA RIPOTI YA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s400/1-26.jpg)
Chifu Nzunda amebainisha hayo katika kikao cha Kamati ya Amani ya Mkoa ilipokutana kujadiliana hatua zaidi za tahadhari zinazo paswa kuchukuliwa na Mkoa wa Songwe ili kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Amesema ili mgonjwa apate matibabu kwa mganga wa...