Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINGUNGE AWATAKA WATANZANIA KUONDOKANA NA IMANI POTOFU JUU YA TIBA ASILIA


2 (14)Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME), Kingunge Ngombale (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia  katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam. (kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani. Kingunge amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili 3 (9)Lucey Samwel, kutoka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka utafiti tiba asilia

Serikali imetakiwa kutoa fedha kwa ajili ya utafiti wa dawa asilia ili kusaidia jamii kukabiliana na maradhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujauzito na miiko, imani potofu

KWA wanaofuatilia mfululizo wa makala hizi, watakuwa wanafahamu kuwa tumefika hatua ambayo mwanamke tayari ameshapata ujauzito. Tumeeleza hatua kwa hatua mambo ambayo wenza wanapaswa kuyafanya ili kuwezesha utungaji wa ujauzito...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Imani potofu zinaua soka’

>Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe amesema wachezaji wengi wa Tanzania wanaamini sana imani za kishirikina kitu ambacho hakina faida kwao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yaaswa kuacha imani potofu

JAMII imetakiwa kuacha imani potofu na kutoa ushirikiano kikamilifu katika ukusanyaji wa takwimu kwa kila kaya nchini ili kuwezesha Serikali kupanga mipango mbalimbali ya maendeleo katika kuboresha huduma na sera...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita ya dondosha ‘mkono wa sweta’ na imani potofu

Wakati Serikali ikihimiza tohara ya mwanamume kama mbinu mojawapo mahususi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi, bado zipo imani potofu zinazokinzana na juhudi hizo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ushauri wa kiafya ambao ni imani potofu tu

Ushauri wa kutumia kitunguu saumu ili kujikinga na virusi vya corona ni miongoni mwa imani potofu zinazoenea mtandaoni.

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Jamii inahusisha kisukari na imani potofu- TANCDA

Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA), limesema mikoa ya Kanda ya Ziwa imekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa kisukari na shinikizo la damu kutokana na kuyahusisha na imani potofu.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia

WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya dawa asilia kama tiba mbadala (2)

Napenda kufafanua kuwa maelezo yangu kuhusu dawa asilia hayana uhusiano wowote na masuala ya tiba yanayoshughulikiwa na waganga wa kienyeji wanaotumia mazingaombwe, ushirikina, mizimu, mashetani na mambo kama hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani