Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matumizi ya dawa asilia kama tiba mbadala (2)

Napenda kufafanua kuwa maelezo yangu kuhusu dawa asilia hayana uhusiano wowote na masuala ya tiba yanayoshughulikiwa na waganga wa kienyeji wanaotumia mazingaombwe, ushirikina, mizimu, mashetani na mambo kama hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi

>Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyikaa katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba ambazo kwa ushauri wa daktari hata wewe unaweza kuziandaa bila kutumia gharama kubwa.

 

10 years ago

GPL

BARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah. Kutoka kushoto ni Kaimu Msajili wa tiba Asili Mboni Bakari, Mwenyekiti, Profesa Rogassian Mahunnah na Mfamasia Lucy Samweli. BARAZA hilo limesema halitambui vipindi na matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala yanayoendelea kwa sasa kwenye vyombo vya habari… ...

 

10 years ago

Michuzi

MWAKILISHI JIMBO LA CHAKE CHAKE APELEKEKA HOSPITALI DAWA NA VIFAA TIBA VILIVYOPITA MUDA WA MATUMIZI

MWAKILISHI viti maalumu wanawake CUF wilaya ya Chake Chake, Mhe. Salma Mohamed Ali (kulia) akimkabidhi dawa na vifaa tiba,   Daktari dhamana wa hospitali ya Chake Chake, Dk. Yussufu Hamad Idd vilivyotolewa na mwakilishi wa Jimbo la Chake chake, Mhe. Omar Ali Shehe, Mei 3 mwaka huu, kabla ya baadhi ya vifaa na dawa hizo kugunduilika kupitiwa na muda wake wa matumizi. BAADHI ya dawa na vifaa tiba zilizotolewa hivi karibuni na Mwakilishi wa Jimbo la Chake Chake, Mhe. Omar Ali Shehe ...

 

9 years ago

Mwananchi

Utajiri wa hatari tiba mbadala

Ni kutengeneza utajiri kirahisi, lakini kuhatarisha maisha ya watu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka utafiti tiba asilia

Serikali imetakiwa kutoa fedha kwa ajili ya utafiti wa dawa asilia ili kusaidia jamii kukabiliana na maradhi.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yashikilia msimamo tiba mbadala

TAMKO la Serikali kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala, limesisitizwa kwamba liko palepale kwa kuwa lengo ni kuboresha huduma hiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

OFM yabaini Utapeli tiba mbadala

KIGWANGALLA (4)Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoDk. Hamis Kigwangalla alipotembelea Kituo ya Tiba Asilia ya Fore Plan Clinic kilichopo Ilala -Bungoni, Dar wiki chache zilizopita.

Na Waandishi Wetu

WAKATI idadi ya watu wanaoamini katika tiba ya mitishamba badala ya hospitali ‘Tiba Mbadala’ inayotolewa na kliniki mbalimbali nchini ikizidi kuongezeka, Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers ‘OFM’ imebaini udanganyifu mkubwa unaofanywa na baadhi ya matabibu katika tiba...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala

Serikali imesema ina taarifa za kuingizwa kwa mashine za kuchukulia vipimo bila ya kusajiliwa na kusisitiza kuwa itaweka bayana msimamo wake baada ya siku 14 ilizotoa kwa matabibu wa tiba mbadala kuwasilisha taarifa za huduma zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani