Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala
Serikali imesema ina taarifa za kuingizwa kwa mashine za kuchukulia vipimo bila ya kusajiliwa na kusisitiza kuwa itaweka bayana msimamo wake baada ya siku 14 ilizotoa kwa matabibu wa tiba mbadala kuwasilisha taarifa za huduma zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
SERIKALI YASEMA TAMKO LAKE LA TIBA ASILI NA MBADALA LIKO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s400/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala palepale kwa kuwa lengo lake ni kuboresha huduma hiyo. Hivyo kama kuna mtoa huduma ambaye amekwazika na tangazo hilo ipo tayari kuzungumza naye.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s72-c/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI/MBADALA FUATENI SHERIA-DKT. CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s640/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na waandishi wa habari
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/fdf12bf4-618a-4d2b-a4f6-0007379db1c1-1024x683.jpg)
Wanafunzi wa sekondari walioshiriki kongamano la wajasiriamali na upimaji wa afya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce204ffd-565e-449b-8019-5c2b4aefcba4-1024x683.jpg)
Watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu(hayupo pichani)
……………………………………..
Na.Catherine Sungura, Chato
Waganja wa Tiba asili na tiba mbadala wote nchini, wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata Sheria, kanuni, taratibu zilizowekwa na Serikali .
Hayo yamesemwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Serikali yashikilia msimamo tiba mbadala
TAMKO la Serikali kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala, limesisitizwa kwamba liko palepale kwa kuwa lengo ni kuboresha huduma hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FGLkIUJRvFA/VR1JIkgOZuI/AAAAAAAHO8o/cmsKCz4CWm4/s72-c/DSC_0573.jpg)
SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UTAFITI WA TIBA ASILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FGLkIUJRvFA/VR1JIkgOZuI/AAAAAAAHO8o/cmsKCz4CWm4/s1600/DSC_0573.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-euExRBtg0hI/VR1JIjBW85I/AAAAAAAHO80/tnS3uc2D1lA/s1600/DSC_0538.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
KIWANDA CHA VIFAA TIBA SIMIYU KUIPUNGUZIA MSD UAGIZAJI WA VIFAA TIBA NJE YA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gAeegCq5D4c/XlaivzbC0mI/AAAAAAACzg4/CSfqTNKV9HgeuoBwJbJIhqIMdkKNaqsbQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)