SERIKALI YASEMA TAMKO LAKE LA TIBA ASILI NA MBADALA LIKO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr1Tn__XZ8/VoFCVoPuMKI/AAAAAAAIPBs/19KJDCnzPvw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Na Magreth Kinabo- MAELEZO
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala palepale kwa kuwa lengo lake ni kuboresha huduma hiyo. Hivyo kama kuna mtoa huduma ambaye amekwazika na tangazo hilo ipo tayari kuzungumza naye.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yashtukia vifaa tiba asili, mbadala
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s72-c/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI/MBADALA FUATENI SHERIA-DKT. CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s640/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na waandishi wa habari
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/fdf12bf4-618a-4d2b-a4f6-0007379db1c1-1024x683.jpg)
Wanafunzi wa sekondari walioshiriki kongamano la wajasiriamali na upimaji wa afya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce204ffd-565e-449b-8019-5c2b4aefcba4-1024x683.jpg)
Watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu(hayupo pichani)
……………………………………..
Na.Catherine Sungura, Chato
Waganja wa Tiba asili na tiba mbadala wote nchini, wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata Sheria, kanuni, taratibu zilizowekwa na Serikali .
Hayo yamesemwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Serikali yashikilia msimamo tiba mbadala
TAMKO la Serikali kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala, limesisitizwa kwamba liko palepale kwa kuwa lengo ni kuboresha huduma hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Sugu: Serikali iondoe kodi vifaa tiba mbadala
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema kuna haja kwa Serikali kungalia namna ya kuondoa ushuru katika vifaa vinavyoingia nchini kwa ajili ya masuala ya tiba mbadala, kwani wanaonufaika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FGLkIUJRvFA/VR1JIkgOZuI/AAAAAAAHO8o/cmsKCz4CWm4/s72-c/DSC_0573.jpg)
SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UTAFITI WA TIBA ASILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FGLkIUJRvFA/VR1JIkgOZuI/AAAAAAAHO8o/cmsKCz4CWm4/s1600/DSC_0573.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-euExRBtg0hI/VR1JIjBW85I/AAAAAAAHO80/tnS3uc2D1lA/s1600/DSC_0538.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Serikali yasitisha vibali vya matangazo ya tiba asili
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Serikali yapiga marufuku matangazo yanayohusu Tiba asili
![](http://1.bp.blogspot.com/-iqJ-Kq7M9_E/Vny93ECcrxI/AAAAAAAAsfE/GYq5Ag0wppo/s1600/1.jpg)
Taarifa kutoka Wizara ya Afya kuanzia tarehe 24 Desemba 2015 imepiga marufuku matangazo yote yanayohusu tiba asili na tiba mbadala kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Wale wote wenye vibali wanatakiwa kuviwasilisha vibali na matangazo yao kwenye Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala ili vifanyiwe mapitio. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma unaofanywa na...